kwa uelewa wangu mimi google pay is only available kwenye native apps. ila kama app sio native google pay hawahusiki nayo vile vile wakati una sajili app google kuna form una choose ukijaza app yako ni inapp purchase lazima watakupiga komeo lao ni lazima utumie google pay lakini kama utaweka app...
Serikali yetu haitakiwi kuweka ulinzi wa raia na mali zao tu, bali inatakiwa ihakikishe raia, mali pamoja na data zao znakua salama, kwasababu data ndio kitu pekee ambacho kinaweza mfanya mtu aweze kua na mamlaka sehemu, embu fikiria mifumo kama ya utumishi ikaja ikadukuliwa zikafutwa taarifa...
hahaha wenzao wanahak wanataka ajira wao wanahack wanataka bei ipunguzwe... ngoja tusubiri hzo data zao za siri watakazo vujisha heheheh Tanzania ya Viwonder
Ni hacking coz anaingilia PC yako bila ww kujua.. kwa kutumia open ports tena sio kusliliza sauti tu anaweza fanya kitu yoyote ile kwenye pc yako bila ww kujuwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.