Recent content by Ally MO98

  1. Ally MO98

    Dark days 17/03/20

    Sasa huyu choosen one? Aah Sent from my SM-J320FN using JamiiForums mobile app
  2. Ally MO98

    INAUZWA Nauza vifaa vya Saluni

    Na viuza kaka
  3. Ally MO98

    INAUZWA Nauza vifaa vya Saluni

    Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana niliejiajiri na sasa nimepata fursa kubwa zaidi hivyo nauza vifaa vya saloon hivyo kwa anaehitaji chap anipigie kwa +255625981281 *Machine *Kiti *Vioo kidogo viwili *Kipo kikubwa kimoja JUMLA NAUZA Tsh 450,000/=
  4. Ally MO98

    Jinsi washenga wa michongo wanavyoharibu ndoto za dada/mama zetu

    Posa ni kitu chenye thamani ambacho hutolewa katika familia ya mwanamke na kundi la watu wenye lengo la kuthibitisha uwepo wa ndoa kutoka kwa mwanaume. Katika karne hii ya 21, kundi la wazandiki wa kindoa hutumia mwanya huo kutokana na sababu za wanawake wenye msimamo kutokukubali kuingiliwa...
  5. Ally MO98

    Namna ya kuanza biashara ya uwakala wa mitandao ya simu

    Natafuta line ya M-pesa (uwakala) kwa mtu muaminifu aniuzie ili niifanyie kazi kwa mwaka huu huku nikiwa nakamilisha utaratibu wa kufatilia Makao makuu mana kwa sasa voda hawatoi tena line msaada ndugu zangu.
  6. Ally MO98

    Diamond ana degree ya uongo

    Kwani wewe upo wapi kwanza?
  7. Ally MO98

    Tatizo Samsung A12 Kioo kimekuwa black haionyeshi kitu

    Mwambie ametapeliwa na wajanja wa mjini haswa kama amenunua kupitia mitandao, simu ya laki tano ukanunue laki mbili kweli? hata ujitahidi vipi huyo tapeli hawezi kukusaidia chochote ye ashukuru mungu tu kama amejifunza so ajichange anunue nyingine dukani (MPYA) MJADALA UFUNGWE
  8. Ally MO98

    Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

    Mimi sijakuelewa kabisa unless uanze kutunga wewe sentensi mbili tofauti otherwise utatuchanganya wengi humu ndani.
  9. Ally MO98

    Basi la yanga GSM inabidi wabadili gia angani kukwepa aibu na fedhea

    Una maana hizo TATA za mashabiki wa YANGA ni za wakati ule zilizo jaza wanajeshi wetu wakati wa VITA VYA KAGERA?
  10. Ally MO98

    SoC01 Udhibiti wa posa chafu kwa Wanawake

    Ni bora tuwatambue kama washenga kamili na waliopitia mafunzo na wakifunzu watunukiwe cheti cha ushenga hodari kwani kwa kufanya hivyo itasaidia kupunguza au kukomesha uhatari wa michezo michafu kwa wanawake.
  11. Ally MO98

    SoC01 Udhibiti wa posa chafu kwa Wanawake

    Hahah!!! kikubwa wawe katika process za ndoa na kuoa kiukweli.
  12. Ally MO98

    SoC01 Udhibiti wa posa chafu kwa Wanawake

    kabisa mkuu, ni busara sasa tukubaliane kua na masijala ya watu kwenye mahusiano.
  13. Ally MO98

    SoC01 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

    Safi sana, nimelipenda andiko lako maana ni upako haswa nakuahidi kulizingatia.
  14. Ally MO98

    SoC01 Udhibiti wa posa chafu kwa Wanawake

    Posa ni kitu chenye thamani ambacho hutolewa katika familia ya mwanamke na kundi la watu wenye lengo la kuthibitisha uwepo wa ndoa kutoka kwa mwanaume. Katika karne hii ya 21, kundi la wazandiki wa kindoa hutumia mwanya huo kutokana na sababu za wanawake wenye msimamo kutokukubali kuingiliwa...
Back
Top Bottom