Wameondoka wengi Yanga waliopendwa hata kuliko hawa kina Mayele,na wala hawakutukanwa. Tatizo ni pale wanapoanza kukashifu timu. Majibu wanayapta kwa mashabiki wafia timu ambao ukiwaheshimu wanakuheshimu,ukiwadharau wanakudharau.
Polisi waliweka nyumba chini ya upelelezi kwa muda wote huo na hawakufanikiwa kubaini chochote. Mwandishi umejuaje majambazi waliua,wakamwagia miili acid,wakaizika kwenye shimo?una mawasiliano na wauaji?
Haikua shirikisho. Yale yalikua mashindano ya kombe lililoitwa CAF ambalo lilikua linadhaminiwa na tajiri fulani wa huko West Africa. Wakati huo kulikua na kombe la klabu bingwa, kombe la washindi (shirikisho) na hilo la CAF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.