1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,756
Sadio Kanoute amebadilika sana, sasa hivi amezoea mazingira, namwelewa sana hasa kipindi hiki cha Benchika, lkn kuna tetesi kuwa ameachwa kumpisha Babacar Sarr, aisee kama ni kweli tumekwisha.
Leo nimeona katika mchezo dhidi ya Jamhuri amekosekana kabisa kiungo wa kupandisha timu mbele, na kwa vile hata benchi hakukaa leo ni dhahiri kabisa kuna uwezekano huyu raia wa Mali ametemwa.
Nisipomuona na Singida keshokutwa ndio nitaamini kabisa na ndio itakuwa mwisho wangu kuendelea kuwemo humu ktk Jamiiforums.
Leo nimeona katika mchezo dhidi ya Jamhuri amekosekana kabisa kiungo wa kupandisha timu mbele, na kwa vile hata benchi hakukaa leo ni dhahiri kabisa kuna uwezekano huyu raia wa Mali ametemwa.
Nisipomuona na Singida keshokutwa ndio nitaamini kabisa na ndio itakuwa mwisho wangu kuendelea kuwemo humu ktk Jamiiforums.