Je breki za upepo zinafanyaje kazi?

Alejandroz

JF-Expert Member
Feb 14, 2017
327
376
Hamjambo wanafamilia wa jf

Ningependa kujifunza jinsi breki za gesi zinavofanyakazi
Sambamba na hili ningependa nifahamishwe jinsi ya ufanyaji kazi wa "Stop engine" au "stopper" na kwanini zinatumika zaidi kwenye magari makubwa

Pia ule mlio kwenye gari zinazotumia breki za gesi hasa wakati wakusimama ambao ni kama gasi inaachiwa yaani "zchaaaaa'' unatokana na nini?

Karibu unielimishe

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Hamjambo wanafamilia wa jf

Ningependa kujifunza jinsi breki za gesi zinavofanyakazi
Sambamba na hili ningependa nifahamishwe jinsi ya ufanyaji kazi wa "Stop engine" au "stopper" na kwanini zinatumika zaidi kwenye magari makubwa

Pia ule mlio kwenye gari zinazotumia breki za gesi hasa wakati wakusimama ambao ni kama gasi inaachiwa yaani "zchaaaaa'' unatokana na nini?

Karibu unielimishe

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Taaluma Yako Kwanza, usichoshe watu bure kuelezea Mtu wa HGL..

Go and read about operations of pneumatic valves and cylinders.

This is pure Engineering, Electromechanical
 
"zchaaaaa''
daah umenikumbusha basi moja (Eicher) kitambo ya Ubungo_Mbagala
ilikua na huu mlio ikitia breki, zchaaa, inaacha alaf tena zchaaa, inaacha alaf tena zchaaa, alaf tena zchaaa, mpaka inasimama, alaf unasikia ile ndefu zchaaaaaa chaf, upepo unatoka, mwendo huohuo mpaka mwisho

nakumbuka nilifika Mbagala, nikarudi nayo Ubungo kisha kurudi tena Mbagala
Raha Sana
 
daah umenikumbusha basi moja (Eicher) kitambo ya Ubungo_Mbagala
ilikua na huu mlio ikitia breki, zchaaa, inaacha alaf tena zchaaa, inaacha alaf tena zchaaa, alaf tena zchaaa, mpaka inasimama, alaf unasikia ile ndefu zchaaaaaa chaf, upepo unatoka, mwendo huohuo mpaka mwisho

nakumbuka nilifika Mbagala, nikarudi nayo Ubungo kisha kurudi tena Mbagala
Raha Sana


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Taaluma Yako Kwanza, usichoshe watu bure kuelezea Mtu wa HGL..

Go and read about operations of pneumatic valves and cylinders.

This is pure Engineering, Electromechanical
Badala ya kujikita katika kutaka kujua taaluma za watu ungejitahidi uilezee tu kwa namna rahisi ungeelimisha wengi.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Hamjambo wanafamilia wa jf

Ningependa kujifunza jinsi breki za gesi zinavofanyakazi
Sambamba na hili ningependa nifahamishwe jinsi ya ufanyaji kazi wa "Stop engine" au "stopper" na kwanini zinatumika zaidi kwenye magari makubwa

Pia ule mlio kwenye gari zinazotumia breki za gesi hasa wakati wakusimama ambao ni kama gasi inaachiwa yaani "zchaaaaa'' unatokana na nini?

Karibu unielimishe

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Inaitwa Pneumatic/Air brake system.

Haina tofauti na Brake system za Hydraulic ambazo ndio zipo kwenye gari ndogo nyingi.

Kilichoongezeka hapo sanasana ni Compressor na mitungi ya kuhifadhia hewa.

Unapikanyaga brake ile hewa ikishatumika inatoka ndio ule mlio unaousikia. Kwa sababu kuna compressor itajazwa nyingine na maisha yataendelea.

Kuhusu Engine Brake/Stop Engine kama ulivyoita.

Unapoapply engine brake kuna namna Intake na Exhaust valves za engine zinafunga hivyo drive train kuanzia kwenye gearbox mpaka kwenye magurudumu inakuwa inafanya kazi against engine. Mind you, kuzungusha engine ikiwa imeclose hizo valves ni Shughuli nzito.
 
1684067895954.png
 
Inaitwa Pneumatic/Air brake system.

Haina tofauti na Brake system za Hydraulic ambazo ndio zipo kwenye gari ndogo nyingi.

Kilichoongezeka hapo sanasana ni Compressor na mitungi ya kuhifadhia hewa.

Unapikanyaga brake ile hewa ikishatumika inatoka ndio ule mlio unaousikia. Kwa sababu kuna compressor itajazwa nyingine na maisha yataendelea.

Kuhusu Engine Brake/Stop Engine kama ulivyoita.

Unapoapply engine brake kuna namna Intake na Exhaust valves za engine zinafunga hivyo drive train kuanzia kwenye gearbox mpaka kwenye magurudumu inakuwa inafanya kazi against engine. Mind you, kuzungusha engine ikiwa imeclose hizo valves ni Shughuli nzito.

Kwakawaida engines zina funguaga intake valves na exhaust valves kwakubadilishana, kama nimekupata vizuri mkuu ni kwamba kazi ya engine brake ni kuzifunga zote (kupunguza ufanisi wa engine) hivyo kupunguza kasi ya mzunguko wake

Vipi zoezi lakuzifunga valves zote mbili linaweza kupunguza mwendo kiasi cha kusimamisha kabisa gari au nikupunguza mwendo pekee?

Na je, haiathiri engine mkuu?

Nawasilisha


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 

Kwakawaida engines zina funguaga intake valves na exhaust valves kwakubadilishana, kama nimekupata vizuri mkuu ni kwamba kazi ya engine brake ni kuzifunga zote (kupunguza ufanisi wa engine) hivyo kupunguza kasi ya mzunguko wake

Vipi zoezi lakuzifunga valves zote mbili linaweza kupunguza mwendo kiasi cha kusimamisha kabisa gari au nikupunguza mwendo pekee?

Na je, haiathiri engine mkuu?

Nawasilisha


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hiyo ni breki saidizi, kazi yake ni kupunguza mwendo tu na siyo kusimamisha chombo mkuu!!

Haina madhara kwa injini kama utaitumia kwa namna ilivyoelekezwa..
 
Hamjambo wanafamilia wa jf

Ningependa kujifunza jinsi breki za gesi zinavofanyakazi
Sambamba na hili ningependa nifahamishwe jinsi ya ufanyaji kazi wa "Stop engine" au "stopper" na kwanini zinatumika zaidi kwenye magari makubwa

Pia ule mlio kwenye gari zinazotumia breki za gesi hasa wakati wakusimama ambao ni kama gasi inaachiwa yaani "zchaaaaa'' unatokana na nini?

Karibu unielimishe

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Nitakupa link yake Ni video za zaman Sana around 50's -70's utaelewa kila kitu
 
Back
Top Bottom