kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Wakuu habarii zenu, husikeni na somo tajwa hapo juu.
Naanza na kukiri kuwa Katika nchini yetu kuwa kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na wachambuzi wengi ambao mimi binafsi nawaita Makanjanja lakini huyu jamaa anaitwa Ramadhan Mbwaduke yuko nondo mnoo huku nikimfananisha na manguli kati eneo hilo kama vile Graeme Souness, Grary Neville, Lee Dixon, Alan Hansen, Glenn Hoddle, George Ambangile, Godlisten Muro na wengineo wengi.
Naomba kuwasisha tafadhali
View attachment 2522707
Naanza na kukiri kuwa Katika nchini yetu kuwa kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na wachambuzi wengi ambao mimi binafsi nawaita Makanjanja lakini huyu jamaa anaitwa Ramadhan Mbwaduke yuko nondo mnoo huku nikimfananisha na manguli kati eneo hilo kama vile Graeme Souness, Grary Neville, Lee Dixon, Alan Hansen, Glenn Hoddle, George Ambangile, Godlisten Muro na wengineo wengi.
Naomba kuwasisha tafadhali
View attachment 2522707