Recent content by ALL ABOUT ANNA

  1. A

    Why x-mass

    Hivi x-mass ni biblical au ni uvumbuzi wa binadamu
  2. A

    Natafuta kazi

    Nina degree ya procurement and logistics management kutoka mzumbe university
  3. A

    Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

    Jamaa mmoja alikuwa amekaa pamoja na demu wake juu ya Mercedes Benz toleo jipya,ndipo jamaa alipoanza kusema. Jamaa:samahani naomba unisamehe Mwanamke:nikusamehe nini tena? Jamaa:nimekudanganya Mwanamke:umenidanganya nini tena? Jamaa:Nilikwambia ya kuwa sina mke ila ukweli ni kwamba nina mke na...
  4. A

    Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

    Jamaa mmoja alikuwa amekaa pamoja na demu wake juu ya Mercedes Benz toleo jipya,ndipo jamaa alipoanza kusema. Jamaa:samahani naomba unisamehe Mwanamke:nikusamehe nini tena? Jamaa:nimekudanganya Mwanamke:umenidanganya nini tena? Jamaa:Nilikwambia ya kuwa sina mke ila ukweli ni kwamba nina mke na...
  5. A

    MAFUTA YA UBUYU KWA WADADA: Kwa kuboresha tendo

    ukitaka kutajirika sasa hivi associate bidhaa zako na tendo la ndoa
  6. A

    MKURABITA! Historia za Kweli jinsi wadau(Tz) walivotoka kiuchumi. Ngombe 1 mpaka kumiliki Ranch!

    KWA HIYO TULIOKULIA KIJIJINI TUNALALA NYUMBA MOJA NA NDAMA, MBUZI n.k tumeathirika na harufu ya mbolea?
  7. A

    MKURABITA! Historia za Kweli jinsi wadau(Tz) walivotoka kiuchumi. Ngombe 1 mpaka kumiliki Ranch!

    mbona unaponda sana waajiriwa, na wakati huo huo unahimiza watu wawekeze, je kwani hao wawekezaji hawatahitaji wafanyakazi (kufanya wengine watumwa wao kama wewe unavyowaita wafanyakazi kuwa ni watumwa). Mimi nikijua hii biashara ni yako huwezi kuniajiri kwa kuwa unafikiri waajiriwa ni watumwa
  8. A

    Elimu inapogeuka adui mkubwa wa ndoa...nini kifanyike?

    Mtu keshachezewa chuo anatoa vimasharti vya gari na nyumba. Ujinga kabisa
  9. A

    Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

    hiki tunakiita kiburi, hufai kuwa kiongozi wewe, atakayekuoa ana taaaabu!!!!
  10. A

    Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

    LAZIMA WEWE Lara 1 siku moja utakuwa mwizi wa kodi ya serikali,,, tupinge???? Na mwizi hataenda mbinguni
  11. A

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Mbona na wanawake nao wanatembea na houseboy, though wanaume wana hela ya kufa mtu
  12. A

    Wa Tz Tutakufa Maskini Kwa Kimbilia Kuchimbia Pesa (Kujenga) Badala ya Kuizungusha Izae Zaidi

    zakaria halipi kodi kama inavyopasa, kwanza tin yake iko zanzibar.
Back
Top Bottom