Wakuu nilileta issue yangu mnisaidie [emoji1483][emoji1483][emoji1483]
Nilifuatilia lakini sikupata a good solution kutoka kwa Airtel...
Lakini katika experience yangu ya kutumia hii device, ndio nikagundua Huwa inakuwa slow pale ninapokuwa nyumbani.
Na Most of the time nikiwa home huwa natumia...
Wakuu naomba tips za kufanya hii router ya Airtel unlimited inipe Kasi nzuri, ni siku ya pili sasa tangu niinunue pale mlimani City kifurushi Cha 10Mbps.
Iko slow sana mfano YouTube inafunguka kwa shida sana tena low quality 144k na hapo taa ya 4G inawaka na ya kijani pia, isipokuwa tu ya 5G...
Wakuu kwa watu walichaguliwa written interview, kuna haja ya kuwa na deed pool?? kama majina ya vyeti vya taaluma ni mawili lakini cheti Cha kuzaliwa na NIDA ni matatu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.