Asante kwa kumfafanulia,, lakin kwa jinsi alivyo na kichwa kigumu halafu akili kiduchu sidhan Kama ataelewa,,, shida yo moja walishashindwa KILA kitu, wanajua to kutumia nguvu na mabovu, vingine hamna kitu.??
Ndio tunazoziwezea kwa spearparts na mafundi wake wapo, mengine yakilogo lazma ufate mafundi magharibi,,, Kuna jamaa mbeya alikuwaga na GMC alikonda nayo,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.