mtoto wa mjin
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 589
- 565
Kama hayo maneno yametoka mdomoni mwa bashite..basi kweli atakuwa na kazungusha duara..tena yeye atakuwa na zero mbili..ile ya darasani..na Ile ya marindaless..
Walalamike kwa Tume ipi hiyo?! Ile ya Kailima ama kuna tume nyingineCHADEMA KATIKA HILI WALALAMIKE KWA TUME HARAKA SNA NAPIA IKIWEZEKANA WAENDE MAHAKAMANI HU NI UPUUZI AU WAMJIBU MAKONDA KWA PRESS CONF KWA UKALI
Wanaweka mgawanyiko wa kichama. Hii ishu ikija kuwatokea puan wasije kunyoosheana vidole.Huu mgawanyiko mnao ujenga msije kuujutia tuu
So ukiwa na mawazo tofauti hufai aisee kuzaliwa taifa la wajinga ni shida sana
Ni kweli aiseee wanaovunja ni wao halafu wachaguliwe waendelee kuzivunja tena.Kwani wanaovunja ni CCM, halafu wachague tena CCM akili matope
Sio utaifa huu, ni ugeniHuu mgawanyiko mnao ujenga msije kuujutia tuu
So ukiwa na mawazo tofauti hufai aisee kuzaliwa taifa la wajinga ni shida sana
Yaaan kwa akili zake zilivyotumika za kushikiwa hili was halitambui, but time is a good judge, tunasubiri tuone makuu ,,,,BASHITE anazidi KUFUKA.
//SASA NI ZAMU YAKO,HATA MKIONGOZA MIAKA 10 ITAKWISHA UTRUDI KITAA NA KUWA GALASA,SASA ANGALIA NYOMI LA WATU ULIOWAUMIZA.
Mkuu hyo petition ita sustain au manake hapa ni rule by lawground nzuri ya petition mahakamani. Intimidation to voters
6. Whether or not at Runazi, Nyarubungo, Biharamulo town and Rusahunga polling stations votes were intimidated, discouraged misled as well as scared
hence were so many spoilt votes and blank papers to the effect that the elections were not free and fair.
Mkuu watu wanamlaumu buree bishop gwajima,ila alichokisema ndo ukweli wenyeweeZero in paper/examination translates zero in brain. Hakika huyu ni Bashite tena bashite kweli kweli.