habari za mda kidogo wadau...
moja kwa moja niende katika mada.hawa jamaa ni wanafiki wakubwa na mda mwingi wanatumia kupiga porojo tu. mfano mda huu wanazungumzia swala la maoni ya rais mstaafu alhaji mwinyi.. kama rais mwinyi ingekua uwezo wake angependa rais awe wa kudumu.
sasa basii awa...
azam EID KOMEDI GALA (updates)
Wajuvi wa mambo ninafatilia hii event naona hawa komedian wanalazimisha kuchekesha..ni aibu nmegawa marx kama ifuatavyo
.mau fundi= 27
.pepe= 32 katarina 17
still naendelea kufatilia ntawajuza wajuvii wa mambo
Wajuvi wa mambo ninafatilia hii event naona hawa komedian wanalazimisha kuchekesha..ni aibu nmegawa marx kama ifuatavyo
1.mau fundi= 27
2.pepe= 32
still naendele kufatilia ntawajuza wajuvii wa mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.