Kutokana na nguvu kubwa anayoonyesha Mbeya Mjini na kuwa gumzo kwa wakazi wa Jiji hilo Joseph Mbilinyi - Sugu ameonyesha ni kama anapita bila kupingwa kutokana na kumsambaratisha mpinzani wake kupitia CCM Sambwee Shitambala, ambapo mpinzani wake huyo alitaka kutumia ukabila.
Hali hiyo...
"Hasau" .... ndio maana anasomesha wanafunzi wapatao 270 Mbeya kupitia Taasisi yake ya Mbeya Education Trust Fund na ndio maana ameanzisha madarasa ya computer kwenye sekondari za Kata...sio kosa lako ni Elimu mbovu uliyopewa na Magamba ambao leo tena ujitambua....si umelishwa maharage ya wapi
Hapa mnajaribu kutetea uozo...sugu angekuwa hatoi hela kwa huyu mtoto asingekuwa hata ana ubavu wakwenda kumchukua kwa mama yake (haswa kwa jinsi anavyoonyesha uwehu)...mara kwa mara sugu awapo dar huwa anashinda na mtoto wake, na kwa taarifa yenu tunayajua yote, sugu kila mwezi anatoa hela za...
Nilishawahi kusikia Mbunge mmoja anasema atatafuta consultant wa kupima akili za Watanzania....naamini juzi tu baada ya Kili Music hata hao mabinti wenzake walikuwa wanamponda binti kishenzi, lakini leo mnataka mgeuke tena wehu wakubwa...
Ni hivi ongeeeeeeeni mkichoka mtuulize tunaompigia kura Mbeya, Sugu ndiye mwakilishi wetu ambaye mpaka sasa Mbeya tunatembea kifua mbele kwa rekodi yake ya ufanyaji kazi uliotukuka na kwa hili tunamuunga mkono kama kuna nishani inapaswa tufikirie kumpa sababu amefanya muendelezo wa kile huwa...
· ULIZINDULIWA NA RAIS MWAKA 2012 TATIZO LIKO PALEPALE
· KUNA TUHUMA BAADHI YA SEHEMU KUNA MABOMBA HEWA
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi amemtaka Waziri wa Maji kufanya uchunguzi dhidi ya mradi wa maji wa bilioni 70 uliofadhiliwa na Umoja wa Ulaya katika jiji la Mbeya...
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Osmund Mbilinyi leo ameibua kizaazaa bungeni baada ya kuuliza swali kuhusiana na ujenzi wa soko maarufu la Mwanjelwa lililoko katika jiji la Mbeya ambao haujakamilika tangu mwaka 2010 licha ya fedha nyingi zaidi ya shilingi billioni 20 ambazo zimetumika mpaka sasa...
· WAFANYAKAZI WAFUKUZWA KAZI OVYO · AITAKA SERIKALI KUWARUDISHA KAZINI MARA MOJA Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi "Sugu" amefichua madudu ambayo wanafanyiwa Wafanyakazi wa TAZARA Mbeya ikiwemo kufukuzwa kazi ovyo. Akiongea bungeni Mbunge huyo alisema ni aibu kwa serikali...
· UCHUNGUZI WA KIMATAIFA UFANYIKE YAWEZEKANA RAIS WA CHINA HAJUI
· MTASIKIA WATU WAMENYONGWA CHINA SABABU SISI HATUCHUKUI HATUA
Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" ameitaka serikali kuchunguza kuhusu tuhuma zilizotolewa na Televisheni ya Al-Jazeera kuhusu sakata linalohusu tuhuma...
Kwa wakazi wa Mbeya leo ndio interview na ujumbe waliotumiwa uko hivi, angalia lugha iliyotumika:.......
Viettel Tanzania Company notify. 13:00Pm-Tomorow(04-october-2014), You come my office to recruitment exam. Add office: veta street, plot no 146, block D, ilomba area - mbeya...
Mbunge Joseph Mbilinyi "Sugu" leo amemaliza mgomo mkubwa wa malori maeneo ya Uyole njia panda, ambapo madereva walifunga barabara kulalamikia manyanyaso mengi wanayopata.
Mgomo huo ulisababisha adha katika jiji la Mbeya na pia hapo ndio njia panda ya kwenda Nchi za Zambia na Malawi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.