Ndugu inchi 3 mbona kubwa sana?? Unaenda kujaza majaruba?. Mimi kama ni Ushauri wangu kwa ukubwa huo tafuta ya diesel na Huwezi kupata kwa bei hiyo.
Vinginevyo tumia hizi za inchi moja nanusu za petrol na vizuri ukanunua mpya, kama used ime kutoka nje sio hapa bongo. Kama ni bongo labda muuzaji...
Hongera sana kwa wazo lako jema, mimi ngekushauri uonane na Watu wa kampuni za soral wao wanatoa pump za mkopo kwa kianzio kidogo kulingana na aina na uwezo wa Pump na baada ya hapo utaanza kulipia kidogo kidogo kwa muda wa mwaka 1, pump ya nishati yajua itakufaa sana sababu itakuondolea...
Mimi kwa uwezo wangu mdogo wakufikiri tangu nisikie taharifa ya kusakwa wamiliki wa hiyo Kampuni, najiuliza pesa tu naambiwa ilikopeshwa serikali kutoka Libya ilikuaje Kampuni yawatu binasfi wakopeshwe???.
Hiyo pesa ilitoka kwa vigezo gani kutoka serikali kwenda kwa watu binasfi wakati nipesa...
Habari za muda huu wanakundi hili.
Tukiwa tunaelekea kuanza msimu wa kilimo kwa mwka 2018/2019.
Tunapenda kuwafahamisha wakulima wetu kuwa Kampuni ya Bytrade Tanzania Limited inayo furaha kuwatangazia Wakulima wote wa alizeti nchini kuwa kwa mara ya nyingine Tanzania, tunaendelea kuwaletea...
Ndugu soko ni lakutafuta, muhufo ukiwa sio mvivu ukakomaa utapata pesa, lakini kama utategemea soko la kutafutiwa nimoja yazao wanalolalia bei, pia kanuni nikwamba lazima kupata soko kwanza ndio uingie kulima. Kikubwa nikucheza na timing tu. Pia kuongeza mnyororo wa thamani kama unaamua liwe zao...
Jibu sio sahihi, alitakiwa kujibu lini mswada utaletwa bungeni, pale hakuulizwa mwenendo wakesi Wa swala hilo, Ili kuingilia tungepaswa kujua swala lenyenyewe na namba yakesi hiyo maana mahakamani kuna kesi nyingi. Nahilo ilekuwa kama kichaka kuwazuia watu juu ya jambo fulani unasema lipo...
Kwani Chadema nijeshi au chama cha siasa? Kama nichama chasiasa ukamanda nijina tu sio cheo.
Alafu lazima tutoke kwenye siasa zisizo na faida kwa wapiga kura, leo kusema Lowasa ujana kalia CCM uzee anaendakuumalizia chadema yeye sio kamanda, yafaida gani kwa mpiga kura? Yanamshawishi vipi mtu...
Hiyo sababu ya namba 7 ndio yakwanza huko kwingine kuzunguka tu.
Meya wa ubungo alipoulizwa juu ya wanachama wanaoondoka alisema waache waondoke maana kwetu nikama takataka tu, akiwa na maana wanaoondoka sasa huyu ndugu yangu yeye alikuwa hajaama alivyoamaa ndio amekubali kuwa takataka...
Kuna mtu alikuuliza kama mpiga kura wawapi?????. Je lipi lililobora, kumchagua mtu asiojiandikisha kwenye jimbo, au kumchagua mtu mliomuamini mkamchagua akawasaliti kwa kuiacha kazi, baada yamuda akarudi kuiomba kazi hiyohiyo?.
Tusiwe naharaka kuna muda wapingamizi anaweza kuwekewa kama...
Kwani kwenye maelezo yake wakati anatoka CCM nakuomba kujiunga na Chadema aliomba awe na mgombea ubunge? Yeye aliomba uanachama hakusema anajiunga na Chadema nafikiri umeona tofauti, kwamaana hiyo Chadema wangeweza kumkataa bado asingekuwa mgombea pia.
Jambo lapili kuwa mwanasiasi mzuri sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.