Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,546
- 3,549
Kwa mwenye nayo wakuu,,nimeingia rasmi kwenye kilimo ila water pump ziko juu kidogo dukani, kwahyo mwenye nayo used tunaweza kuongea tuuziane kwa bei ya kupoa
Au anayejua duka ambalo naweza kupata aina ya Boss ya inch 3 kwa bei isiyozidi laki 2 anijuze pia.
Mwamba.
Au anayejua duka ambalo naweza kupata aina ya Boss ya inch 3 kwa bei isiyozidi laki 2 anijuze pia.
Mwamba.