Jibu hili la Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa Mbunge Saed Kubenea wa Ubungo ni sahihi?

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Katika kipindi cha bunge jioni hii ya leo, Mbunge Saed Kubenea alipata nafasi ya kuuliza swali la kisera kuhusu Tume ya Uchaguzi. Alihoji ni lini Serikali italeta hoja hiyo ijadiliwe ili ifanyiwe marekebisho Tume ya Uchaguzi kuzuia Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa wasimamizi wa uchaguzi?

Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliombwa na Spika kutoa ufafanuzi akasema kuna kesi Mahakamani imefunguliwa kuhusu shauri hilo, hivyo Bunge haliwezi ingilia shauri lililoko mahakamani.

Je, ni jibu sahihi?
 
Kweli wapinzani ni vibudu. Shauri wamelipeleka wenuewe mahkmani , halafu wanatak serikali itoe ufafanuzi kwa jambo lililoko mahakamani, loooh, majanga
 
Katika kipindi cha bunge jioni hii ya leo, Mbunge Saed Kubenea alipata nafasi ya kuuliza swali la kisera kuhusu Tume ya Uchaguzi. Alihoji ni lini Serikali italeta hoja hiyo ijadiliwe ili ifanyiwe marekebisho Tume ya Uchaguzi kuzuia Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa wasimamizi wa uchaguzi?

Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliombwa na Spika kutoa ufafanuzi akasema kuna kesi Mahakamani imefunguliwa kuhusu shauri hilo, hivyo Bunge haliwezi ingilia shauri lililoko mahakamani.

Je, ni jibu sahihi?

Jibu sio sahihi, alitakiwa kujibu lini mswada utaletwa bungeni, pale hakuulizwa mwenendo wakesi Wa swala hilo, Ili kuingilia tungepaswa kujua swala lenyenyewe na namba yakesi hiyo maana mahakamani kuna kesi nyingi. Nahilo ilekuwa kama kichaka kuwazuia watu juu ya jambo fulani unasema lipo mahakani aliruhusiwi kuongelea, kinachokatazwa kuongelea mambo yanayoweza kupelekea kuharibu au kushinikiza maamuzi fulani, nahilo sio jambo geni mnakumbuka Tegeta Esrow? Bunge lilijadili naswala lilikuwa mahakamani.
 
Back
Top Bottom