Nahitaji water pump ya mkopo

Nahitaji water pump ya mkopo

fdizzle

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,902
Reaction score
2,405
Wakuu habari zenu?
Nimeanza kilimo cha mboga mboga na Nashukuru Mungu mpaka sasa naendelea vizuri na kilimo.
Changamoto kuu niliyo nayo ni Water pump. Nilikuwa naomba Kama kuna mdau anaweza kunikopesha water pump anisaidie kwa hilo nitakuja kumlipa pesa yake yote.
Kilimo kina changamoto sana ila hii Water pump ndio inanirudisha nyuma
 
Sawa subiri wanakuja mi nipo mwanza na ninayo ya umeme haina kazi
 
Hongera sana kwa wazo lako jema, mimi ngekushauri uonane na Watu wa kampuni za soral wao wanatoa pump za mkopo kwa kianzio kidogo kulingana na aina na uwezo wa Pump na baada ya hapo utaanza kulipia kidogo kidogo kwa muda wa mwaka 1, pump ya nishati yajua itakufaa sana sababu itakuondolea ghalama za matumizi ya mafuta.

Ukiwa tayari nicheki kwenye Namba 0715934398 niweze kukuonganisha wa husika.
 
Back
Top Bottom