mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Wana yanga hawawezi kumpa kura Mo!!! Na wana Yanga maeneo hayo ni wengi zaidi!duuhhhh...ngoja tuwasubiri wanasimba na wanayanga
Wana yanga hawawezi kumpa kura Mo!!! Na wana Yanga maeneo hayo ni wengi zaidi!duuhhhh...ngoja tuwasubiri wanasimba na wanayanga
Ni Tanzania pekee mabilionair wanagombea ubunge
Kwa Nini? Sii unaona maendeleo makubwa Sana safari hii. Barabara zinajengwa. Maji kibaoHalima Mdee hawezi shinda tena jimbo la Kawe
Mkuu,hiyo nimekupa ya ndani kabisa!
Ilikuwa Makonda akapambane naye lakini imeonekana Boniphace kule Ubungo lazima awepo mtu jembe wa kupambana naye ndiposa CCM kimeonelea Makonda abaki Ubungo kummaliza Bon na Mo akammalize Halima.
Mo anapelekwa pale kwa ajili ya jambo moja tu kummaliza Halima.
Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.
Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.
Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Itakuwa a tactical mistake for CCM.Wakati wananchi tunataka chama kiji-identify more with workers and farmers,tena kiwakumbatie mabepari!Litakuwa kosa kubwa na naamini CCM haitakuwa tayari kufanya kosa hilo.Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.
Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.
Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Kua tajiri sio kua mwanasiasa. Mo Dewj hawezi siasa, na ni mwepesi sana sidhani kama atagombea.
Sasa na wewe unaumiza kichwa kiss nini? Umeshasema huyo ni CCM unataka aseme Nini Cha mashiko? Musiba alisema Kinana alichangia tembo kupungua muulize analijua hilo? Muulize pia anajua Nini kuhusu kagoda,Meremeta,escrow? Just to mention a fewPeleka ujinga wako huko! Kuwa tajiri ndio kuna mfanya MTU awe mbunge au mwanasiasa mahiri?
MO alifanya nini Singida? Manji kafanya nini Mbagala? Unadhani wakazi wa Kawe ni wa kupanga foleni kugawiwa kilo ya sukari kama wale was Singida ambao Leo wanasema MO kapoteza muda wao bure!
Miccm sijui kwa nini ni mijinga namna hii, kuwepo kwako JF siku nyingi tulitegemea unaweza kuwa kama MTU mwenye shahada aliyeisoma online lakini kumbe bure tuu, hujifunzi kitu
Kule Singida kilimshinda nini akabwaga manyanga?Kuna kila dalili mfanyabiashara mkubwa na kada wa CCM ndugu Mohammed Dewji almaarufu 'Mo' atagombea Jimbo la Kawe katika uchaguzi ujao wa 2020.
Inasemekana CCM inamshawishi MO ili akubali kuwa mshindani wa Halima Mdee kwenye Jimbo hilo mwakani.
Mytake;Ufalme wa Halima unaenda kukoma rasmi kwa mwamba huo wa CCM endapo tu utakubali kugombea Jimbo la Kawe.
Na Haji Manara nae wapi?Makonda Ubungo.
Kweli una akili za kuku wa KISASA. Kwa hiyo Halima Mdee alipewa hela za ujenzi wa hizo barabara akazila au hao wakina Sitta hela wametoa mfukoni mwao?Kwa kusema ukweli bila kumung`unya maneno Halima mdee kupita uchaguzi ujao jimbo la kawe itakuwa ni muujiza wa karne,jimbo halina jipya,barabara zilikuwa hazipitiki mpaka walipokuja makonda na Meya Sita wakaahidi ndipo baada ya miezi michache barabara zikaanza kutengenezwa.Simlaumu Halima Mdee haya ni matokeo ya Siasa za Tanzania ukiwa mbunge wa jimbo halafu unatoka upinzani sahau kupata maendeleo jimboni kwako.
Are you sure, kumbe hujui siasa za DuniaNi Tanzania pekee mabilionair wanagombea ubunge
Kua tajiri sio kua mwanasiasa. Mo Dewj hawezi siasa, na ni mwepesi sana sidhani kama atagombea.
mmemteka na kumkamua pesa, leo ndo mnamshawishi agombee kupitia chama kilekile kilicho mteka,
atakuwa mpuuzi kupindukia akiwasikiliza watesi wake na ilitumpekura itabidi atuambie nani alimteka, kwasababu gani na nini walicho mfanyia huko alipokuwepo, akijibu haya ndo tutaenda kwenye sera
Mbona rostam alikuwa mbungeKua tajiri sio kua mwanasiasa. Mo Dewj hawezi siasa, na ni mwepesi sana sidhani kama atagombea.
kweli CCM hawana ustawi wa jamiiMkuu,hiyo nimekupa ya ndani kabisa!
Ilikuwa Makonda akapambane naye lakini imeonekana Boniphace kule Ubungo lazima awepo mtu jembe wa kupambana naye ndiposa CCM kimeonelea Makonda abaki Ubungo kummaliza Bon na Mo akammalize Halima.
Mo anapelekwa pale kwa ajili ya jambo moja tu kummaliza Halima.