Huyu jamaa ametoa hoja moja tu, hoja yake kaielezea vizuri na ina mashiko kuliko hata kelele zinazopigwa na hoja zinazotolewa na maelfu ya jamaa wa Vyama Vyote Vya Upinzani/Raia/Maaskofu/Wasanii n.k
Papa huko Vatican ameridhia LGTB, amelaani sheria zinazowa kandamiza na kuwapa adhabu. Ametaka Mapadri kuwapokea. Tunasubiri tamko la TEC pia.
https://www.vaticannews.va/en/pope/news/2022-05/pope-letter-fr-martin-lgtb-outreach-questions.html
Watanzania kweli vichwa vyetu vina upungufu wa madini. Ina maana hamkuelewa tu walichowaambia?
Mliambiwa muoane (mpelekeane moto) wanaume kwa wanaume, na wanawake kwa wanawake ili mpate misaada yao. Kesho nendeni wanaume mmevaa sketi, blauzi, make up, mawigi na makope muone visa mnapewa chap...
Halafu hao wafanyabiashara wakubwa, watoe pia na connection za waganga wao. Sio fresh kubaniana!
Hawa mafundi wa kutuma sms "Mjukuu wangu ile ndago nliokupa" ni matapeli sana!
Risiti ya kielektroniki (EFD) unatoa baada ya mauzo?
Sisi raia wema tunaogopa vishindo vya TRA kukamatwa na mali za wizi na kesi za kukwepa kodi.[emoji18]
Duh huyu mwanamke kweli ni hamnazo kabisa kichwani kwake. Dishi limesha cheza kichwani.
Hivi, unaanzaje kuwajibia watu maelfu kwenye jambo nyeti kama hilo?
Wangekua wameridhia wana mbeya wote, basi wasigekua wao wa kwanza kwenda mahakamani kulipinga huko huko mbeya!
Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi.
Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
Algeria ni dada wa Tanzania. Nchi mbili kongwe Africa ambazo zilishikana pamoja bega kwa bega kusaidia mataifa ya afrika kupata uhuru.
Kipindi cha uhuru Tanganyika, na baada ya uhuru, Tanganyika (Viz Mwalim Nyerere) na Algeria walikua wakifanya vikao vya siri vya kijeshi na kimapinduzi kusaidia...
Kwanza tuanze kujadili na neno/jina "MWAMPOSA" lina maana gani?
Maana huu Utume na Unabii wa siku hizi unatafakarisha sana, ndio maana mwisho wa siku unakuta "Mchungaji anakula kondoo wa bwana" machungani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.