Recent content by Alexander The Great

  1. Alexander The Great

    Sheikh asema kubinafsisha bandari ni haramu na haifai kabisa

    Huyu jamaa ametoa hoja moja tu, hoja yake kaielezea vizuri na ina mashiko kuliko hata kelele zinazopigwa na hoja zinazotolewa na maelfu ya jamaa wa Vyama Vyote Vya Upinzani/Raia/Maaskofu/Wasanii n.k
  2. Alexander The Great

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    Papa huko Vatican ameridhia LGTB, amelaani sheria zinazowa kandamiza na kuwapa adhabu. Ametaka Mapadri kuwapokea. Tunasubiri tamko la TEC pia. https://www.vaticannews.va/en/pope/news/2022-05/pope-letter-fr-martin-lgtb-outreach-questions.html
  3. Alexander The Great

    Suala la Viza ya Marekani na Canada Serikali ya Tanzania ivunje ukimya, foreign affairs watimize majukumu yao

    Watanzania kweli vichwa vyetu vina upungufu wa madini. Ina maana hamkuelewa tu walichowaambia? Mliambiwa muoane (mpelekeane moto) wanaume kwa wanaume, na wanawake kwa wanawake ili mpate misaada yao. Kesho nendeni wanaume mmevaa sketi, blauzi, make up, mawigi na makope muone visa mnapewa chap...
  4. Alexander The Great

    Serikali iwaombe wafanyabiashara wakubwa waende vyuo vikuu wakafundishe wahitimu angalau unit 1 ili kukamilisha degree ya biashara

    Halafu hao wafanyabiashara wakubwa, watoe pia na connection za waganga wao. Sio fresh kubaniana! Hawa mafundi wa kutuma sms "Mjukuu wangu ile ndago nliokupa" ni matapeli sana!
  5. Alexander The Great

    Nauza paka wa nyumbani

    Risiti ya kielektroniki (EFD) unatoa baada ya mauzo? Sisi raia wema tunaogopa vishindo vya TRA kukamatwa na mali za wizi na kesi za kukwepa kodi.[emoji18]
  6. Alexander The Great

    Joseph Kasheku Musukuma alalamikia Wananchi wa Geita Vijijini kumpigia makofi Tundu Lissu

    Hii issue ya Bandari mambo yamekua sio mambo kwa watawala. Ukichimama nchale, ukikaa nchale, ukichutama nchale, ukikimbia nchale![emoji28][emoji23]
  7. Alexander The Great

    Spika Dkt. Tulia: Rais mimi ndio Mbunge wa Mbeya Mjini, Wananchi wameniambia Wanakuunga mkono Uwekezaji wa Bandari!

    Duh huyu mwanamke kweli ni hamnazo kabisa kichwani kwake. Dishi limesha cheza kichwani. Hivi, unaanzaje kuwajibia watu maelfu kwenye jambo nyeti kama hilo? Wangekua wameridhia wana mbeya wote, basi wasigekua wao wa kwanza kwenda mahakamani kulipinga huko huko mbeya!
  8. Alexander The Great

    Balaa ya HIMARS, wanajeshi Warusi wafumuliwa 200 kwa mkupuo

    Sasa Ulraine wasubiri na wao wajibu mubashara ya Russia. Mwamba atawafurahisha!
  9. Alexander The Great

    Hata kama mkeo na watoto unawapenda usisafiri nao kwenye gari moja; wahenga waliishi muda mrefu kwa kukwepa haya

    Dah nimesoma ulivoandika kwa msisitizo, mpaka maini nimehisi yametetemeka! Kipi kimekukuta mkuu mpaka umeandika huu wosia? [emoji848]
  10. Alexander The Great

    Vijana wa Arusha kuuona uhuni na usela ni ujanja kunazidi kulitafuna jiji, usalama umepungua, maadili yameshuka, serikali haina msaada

    Kuna siku nlipishana na machalii wawili mida ya saa tatu usiku, mitaa ya pale mianzini, wakiwa na umri kati ya miaka 13 au 14 hivi. Mmoja kiunoni anabonge la beto, anamwambia mwenzake "haki ya mama, yule manzi asingetoa ile simu, mi ningemvurugua maini asee".
  11. Alexander The Great

    Tanzania yazindua rasmi Ubalozi wake Jijini Algiers, Algeria

    Algeria ni dada wa Tanzania. Nchi mbili kongwe Africa ambazo zilishikana pamoja bega kwa bega kusaidia mataifa ya afrika kupata uhuru. Kipindi cha uhuru Tanganyika, na baada ya uhuru, Tanganyika (Viz Mwalim Nyerere) na Algeria walikua wakifanya vikao vya siri vya kijeshi na kimapinduzi kusaidia...
  12. Alexander The Great

    Ushauri wa bure kwa watawala: Wapeni Watanganyika Tanganyika yao

    Mi niko upande wa "Mungu Ibariki Afrikaaa, Usiwa Bariki Viongozi Wakee, Wake Kwa Waume Na Watotoooo".
  13. Alexander The Great

    Serikali imdhibiti Mtume wao Mwamposa awe na Ratiba Maalum ya Ibada zake zinazoboa ili kuepusha Kero Kubwa ya Foleni Kawe

    Kwanza tuanze kujadili na neno/jina "MWAMPOSA" lina maana gani? Maana huu Utume na Unabii wa siku hizi unatafakarisha sana, ndio maana mwisho wa siku unakuta "Mchungaji anakula kondoo wa bwana" machungani!
  14. Alexander The Great

    Ushauri wa bure kwa watawala: Wapeni Watanganyika Tanganyika yao

    Tarehe yako ya kujiunga JF inaongea mengi sana, ila kwa mtu muelewa tu!
Back
Top Bottom