Polepole akizeeka atakuja kua mchawi/mwanga/mlozi.
Kipindi cha Magufuli alikua mstari wa mbele kuunga mkono mgombea urais mmoja tu CCM, na maswala ya kutekwa watu, kuuliwa, kuvamiwa studio za clouds na mitutu ya bunduki, kina Mo Dewj, Roma na wengine wengi kutekwa na kuteswa, watu kubambikiziwa...
Mtuhumiwa pia ni mtu anaejua sana sheria (undisputed) na anajua fika madhara ya kuvunja sheria, ila aliamua kuvunja sheria kwa makusudi.
Sidhani kama hoja zako zimekaa sawa.
Ukitaka kuijua Pan Africanism ni wanafiki kiwango cha 5G, subiri uchezee vikwazo kutoka kwa mabeberu. Hakuna atakae thubutu kufungua mdomo kukutetea.🤔
Hayati Mugabe ana habari yake.😌
Huyu jamaa ametoa hoja moja tu, hoja yake kaielezea vizuri na ina mashiko kuliko hata kelele zinazopigwa na hoja zinazotolewa na maelfu ya jamaa wa Vyama Vyote Vya Upinzani/Raia/Maaskofu/Wasanii n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.