Recent content by Alex_CPA

  1. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Taa nyekundu kwa ordinary share holder wa CRDB

    Mimi sio speculator ila Maamuzi wanafanya wao au ni mimi? Kuna watu niliwaambia kuhusu mwalimu commercial bank bei ilipo kua 2100 wakasema nawaonea wivu haya sasa wanalia huko.
  2. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Taa nyekundu kwa ordinary share holder wa CRDB

  3. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Hizi ni njia za kupunguza risk kwenye soko la hisa

    Karibu Stock analytics In Tz💹
  4. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Hizi ni njia za kupunguza risk kwenye soko la hisa

    Kuwekeza kwenye share na hati fungani it's risk lakini kuwekeza kwenye hisa ni risk zaidi na risk zipo katika aina hizi... Systematic risk hizi ni aina za risk ambazo ni unavoidable( haziepukiki) maranyingine huitwa market risk, huathiri soko zima, mfano wa hizo risk ni inflation, vita n.k...
  5. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania TRA INNOVATION PORTAL

    JE HAUNA TIN? , FUATA TARATIBU HIZI UPATE TIN BURE NA UWEZE KUTUMA WAZO BUNIFU TRA USHINDE HADI MILIONI 50. 1. Ingia kwenye tovuti ya TRA 2. kwenye kipengele cha huduma mtandao (e-service) bofya innovation portal 3. Unahitajika kuwa na TIN. 4. Huna TIN? Jisajili kupitia Taxpayer Portal kwa...
  6. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania TRA INNOVATION PORTAL

    Unatumia PC kwanza au kwa maelekezo zaidi tembelea channel yao ya wassapp
  7. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Kutangazwa kwa gawio la Vodacom litakuwa na effect chanya kwenye bei ya hisa

    https://whatsapp.com/channel/0029VbDSYqp6hENqzjpBgg3t
  8. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Kutangazwa kwa gawio la Vodacom litakuwa na effect chanya kwenye bei ya hisa

    https://whatsapp.com/channel/0029VbDSYqp6hENqzjpBgg3t
  9. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Kutangazwa kwa gawio la Vodacom litakuwa na effect chanya kwenye bei ya hisa

    Kutangazwa kwa gawio la Vodacom litakuwa na effect chanya kwenye bei ya hisa (bei kupanda) kwa kipindi cha hisa kuuzwa pamoja na gawio 27 Julai - 17 Agosti na itashuka kipindi cha hisa kuuzwa bila gawio 18 July na kuendelea usishange bei yake itakapofika 1000+
  10. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Akili nyingi
  11. Alex_CPA

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Kuhusu kukopa pesa benki na kuweka Utt n ujinga lakini naomba uniambie nchi ipi iliwahi kuvunjika ukiwa na maana ya kufiriska?
Back
Top Bottom