Mmh...binti alikuwa mvumilivu sana kwakweli..bila shaka waliishi vizuri sana na mwajiri wake...
Angalau mwajiri amekiri kudaiwa hajamkana...I hope haki ya mdai itapatikana...japo kwa kuchelewa sana.
Killing me softly - Fugees
Baby i'm gonna miss u - Milli Vanilli
Nikita - Elton John
Take my breath away - Berlin
Secret lovers - Atlantic Stars
Take a message to Mary - Beverly Brothers
Aint funny - JLo
Busted - Isley Brothers
Soul provider - Michael Bolton
Sexual healing - Marvin
These are my...
Kwakweli kujibebea mimba pasipo makubaliano sio poa kabisaa....makubaliano yakiwepo na yakawa complemented na upendo beyond doubt ata kutokuelewana kukitokea mambo hayafiki mbali ivo bcoz whenever u see the kid u see love...unapambana.
Mahusiano yamekua changamoto sana nowdays..very unpredictable. Ifike mahali mwanamke aliyepevuka kimwili na kiakili anapoamua kua na mtoto ajiridhishe kwamba ataweza kupambana na malezi ya mwanae with or without support ya baba mtoto...vinginevyo ni kujinyanyasa kisaikolojia mwisho wa siku mama...
Sijaona watoto hapo na tayari mna househelp....mkiwa na watoto si itakua balaa...na mkeo inaonekana hata hana ratiba kali ya mwajiri., anakwama wapi?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.