Recent content by alcacer

  1. alcacer

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

    Nashukuru sana Kiongozi Leseni Yangu inaruhusu kuendesha gari Ndogo (D) Tani3½ .
  2. alcacer

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

  3. alcacer

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

    Naam
  4. alcacer

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

    Mnishike Mkono Wakuu Mabosi wapo Humu
  5. alcacer

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

    Habari za muda huu wajomba! Naitwa Fareed age 26 Nimekuja Mdogo wenu Nàomba Kazi ya Udereva, Elimu: Form Four Najua pia kutumia Computer&English Language Driving Licence ✅ Cheti (VETA) ✅ National ID ✅ Naendesha Gari ndogo zote(D) Automatic&Manual kwa sasa Nipo Dar es salaam Nna Familia bado...
  6. alcacer

    JamiiForums Tanzania Vyakula gani vinasaidia ukuaji wa ndevu?

    Nimekuja jukwaana hapa naomba kujua vyakula , matunda , vinavyosaidia ukuaje wa ndevu hata kidogokidogo? Nawasilisha kwenu.
  7. alcacer

    JamiiForums Tanzania Mwenye suluhu ya uume mdogo (kibamia) kwa njia za asili aokoe jahazi la walio wengi

    Hakuna kibamia mkuu ni vile una i tune psycology yako na kwa kuangalia porns videos
  8. alcacer

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kununua nguo nzuri za mtumba?

    Kuna ile mitumba glade1 mimi hua nanunua kwa 12-15 ni kali sana kuna t-shirts pens na jeans kali lakini ukitaka mtumba mbovu ndo utanunua kwa afutatu
  9. alcacer

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale DELL latitude e6230

    Bei imekufa! 200K inapoa 0625692602 Dar es Salaam
  10. alcacer

    JamiiForums Tanzania Msaada; Mafuta ya kukuza ndevu

    Heshima Yenu Wakubwa! [emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848] Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?. natanguliza Shukran kwa Bro's.
  11. alcacer

    JamiiForums Tanzania Super black haikai kabisa kichwani, wiki 1 tu imeisha

    Habari za muda huu nakuja moja kwa moja kwenye mada wazee super black haikai kabisa kichwani wiki 1 tu yote ishaisha nipeni muongozo
  12. alcacer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa 'Sarafu' wanalipwa kiasi gani?

    yah connection maana pale kuna bro wangu anaendesha kwaiyo anataka kunifanyia mipango
  13. alcacer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa 'Sarafu' wanalipwa kiasi gani?

    Habari za muda huu Ladies & Gents nakuja Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu.... Nilikuwa nauliza hawa madereva wa hizi gari za Azam zinazojulikana kama SARAFU mishahara yao inaweza fika Kiasi gani? Na je, kwenye gari anaruhusiwa kuwa na mtu mwingine apart na dereva mwenyewe? AHSANTENI.
  14. alcacer

    JamiiForums Tanzania yamenikuta leo, nimejua sijui

    [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom