Habari za muda huu wajomba! Naitwa Fareed age 26 Nimekuja Mdogo wenu Nàomba Kazi ya Udereva,
Elimu: Form Four Najua pia kutumia Computer&English Language
Driving Licence ✅
Cheti (VETA) ✅
National ID ✅
Naendesha Gari ndogo zote(D) Automatic&Manual
kwa sasa Nipo Dar es salaam Nna Familia bado...
Heshima Yenu Wakubwa!
[emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848]
Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?.
natanguliza Shukran kwa Bro's.
Habari za muda huu Ladies & Gents nakuja Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu....
Nilikuwa nauliza hawa madereva wa hizi gari za Azam zinazojulikana kama SARAFU mishahara yao inaweza fika Kiasi gani? Na je, kwenye gari anaruhusiwa kuwa na mtu mwingine apart na dereva mwenyewe?
AHSANTENI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.