Heshima Yenu Wakubwa!
[emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848]
Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?.
natanguliza Shukran kwa Bro's.
Habari za muda huu Ladies & Gents nakuja Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu....
Nilikuwa nauliza hawa madereva wa hizi gari za Azam zinazojulikana kama SARAFU mishahara yao inaweza fika Kiasi gani? Na je, kwenye gari anaruhusiwa kuwa na mtu mwingine apart na dereva mwenyewe?
AHSANTENI.
Hiyo Ni process bro Mimi Mwenyewe Nilikuwa na Michunusi huniangalii Usoni Mara mbili
Lakini Now zZimeisha Kabisa Utadhani Nilikuwa Sina So Trust The Process.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.