Recent content by alcacer

  1. alcacer

    JamiiForums Tanzania Vyakula gani vinasaidia ukuaji wa ndevu?

    Nimekuja jukwaana hapa naomba kujua vyakula , matunda , vinavyosaidia ukuaje wa ndevu hata kidogokidogo? Nawasilisha kwenu.
  2. alcacer

    JamiiForums Tanzania Mwenye suluhu ya uume mdogo (kibamia) kwa njia za asili aokoe jahazi la walio wengi

    Hakuna kibamia mkuu ni vile una i tune psycology yako na kwa kuangalia porns videos
  3. alcacer

    JamiiForums Tanzania Mnawezaje kununua nguo nzuri za mtumba?

    Kuna ile mitumba glade1 mimi hua nanunua kwa 12-15 ni kali sana kuna t-shirts pens na jeans kali lakini ukitaka mtumba mbovu ndo utanunua kwa afutatu
  4. alcacer

    JamiiForums Tanzania Computer4Sale DELL latitude e6230

    Bei imekufa! 200K inapoa 0625692602 Dar es Salaam
  5. alcacer

    JamiiForums Tanzania Msaada; Mafuta ya kukuza ndevu

    Heshima Yenu Wakubwa! [emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848] Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?. natanguliza Shukran kwa Bro's.
  6. alcacer

    JamiiForums Tanzania Super black haikai kabisa kichwani, wiki 1 tu imeisha

    Habari za muda huu nakuja moja kwa moja kwenye mada wazee super black haikai kabisa kichwani wiki 1 tu yote ishaisha nipeni muongozo
  7. alcacer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa 'Sarafu' wanalipwa kiasi gani?

    yah connection maana pale kuna bro wangu anaendesha kwaiyo anataka kunifanyia mipango
  8. alcacer

    JamiiForums Tanzania Madereva wa 'Sarafu' wanalipwa kiasi gani?

    Habari za muda huu Ladies & Gents nakuja Moja Kwa Moja kwenye mada tajwa hapo juu.... Nilikuwa nauliza hawa madereva wa hizi gari za Azam zinazojulikana kama SARAFU mishahara yao inaweza fika Kiasi gani? Na je, kwenye gari anaruhusiwa kuwa na mtu mwingine apart na dereva mwenyewe? AHSANTENI.
  9. alcacer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania yamenikuta leo, nimejua sijui

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. alcacer

    JamiiForums Tanzania Nitumie nini ili niondoe mabaka meusi ya chinusi usoni?

    Hiyo Ni process bro Mimi Mwenyewe Nilikuwa na Michunusi huniangalii Usoni Mara mbili Lakini Now zZimeisha Kabisa Utadhani Nilikuwa Sina So Trust The Process.
  11. alcacer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Pisi ilivo around mbez njoo PM tule maisha nna hela za kuchezea
  12. alcacer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mapenzi serious

    unatafuta mpenzi au mapenzi kama mapenzi njoo Riverside hapa buku3 tu
  13. alcacer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatakiwa uchukue muda gani kuanza kumtongoza mtoto wa kike?

    poapoa kaka kuforce akupende pia ni jau
  14. alcacer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unatakiwa uchukue muda gani kuanza kumtongoza mtoto wa kike?

    nimekupat sana kiongozi well said!
Back
Top Bottom