Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 285
- 192
ndio maana mimi natuliaga tu.Shida siyo kwamba watu hatutaki kutoa misaada kwa wenye hali kama hizo. ishu ni kwamba nyinyi mpo na utayari wa kiasi gani..
watu mpo katikati ya mashaka,,hujui humuamini nani na nani usimuamini. hapa tukisema dawa ipo utaipata kwa utaratibu wa kuchangia kiasi kadhaa au labda uambiwe njoo dm basi utahisi unaenda kutapeliwa. na watu wataanza kuku pump hapa hapa.
wengine mnataka dawa za kunywa leo na kupona kesho jioni. mnachekesha sana !
mtu una tatizo la muda mrefu. wengine wameathirika na PUNYETO na video za ngono kwa miaka kibao halafu unataka upewe dawa ya maajabu ya kusolve hilo tatizo kwa masaa machache...mtaendelea kupigwa.
mtu ukiambiwa lipia kiasi fulani utengenezewe formular utakayoitumia kwa miezi miwili mfululizo unaona ni utapeli..endeleeni kutafuta vya bure kama vipo.
wengine mnapewa formular kwa maelekezo ya kuacha kabisa PUNYETO na video za ngono lakini hamuachi mnataka muendelee kutumia hizo formula huku mkiendeleza hizo ishu za PUNYETO..hautapona hata iweje !
kama unauhitaji muombe Mungu akuongoze sehemu sahihi ya kupata suluhu ya hicho kinachokusumbua.