yamenikuta leo, nimejua sijui

yamenikuta leo, nimejua sijui

Shetani anaingiaje kwenye kufeli kwako?.

Mkuu, acha kuangalia series za kikorea.





Ona sasa...
shetani aliongeza nguvu kwenye lile pigo maana kabla ya hapo sikumpiga kwa nguvu na tulikua hatua za mwisho mwisho katika kuwekana sawa kisaikolojia
 
Umefanya nimecheka sana kwa sauti. Umehitimisha vizuri tuache kuiga kila kitu. Yaani ukipiga kwa mto mpaka mtu chini..!!
haya mambo ya cinema nimeona hayafanyi kazi kwenye uhalisia kabisa
 
JF ina ujinga mwingi sana siku hizi...
 
Tanzania ina vijana wa hovyo sana - alisikika mwanasiasa akisema..

Mkuu wewe hilo halikuwa fungu lako since day One,,, Yaani demu anakuja Ghetto,, badala ya kula mzigo unaanza kumpiga na mito..

Naomba ujichagulie tusi tafadhali...
 
"shetani akajitokeza katika kupigana mto, nilimpiga moja heavy akaenda chini, binti aliinuka akiwa amekaskrika akajiweka sawa na kuondoka huku jumbe zilizoniacha na fedheha moyoni mwangu zikifuata.

haya mambo ya kishua sisi wavunja kokoto hayatufai kabisa."


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom