Dada mimi ninaamini hakuna mwanaume anatelekeza watoto hivi hivi tu, baadhi(tena walio wengi) ya wanawake ambao wamezaa na wanaume nje ya mfumo rasmi wa ndoa huwa na kawaida ya kuwa na vi jenereta vingi(yani wanaume wengi) sasa hali hiyo huleta insecurities kwetu wanaume if utalea mtoto ambao ni...
Kwa dar zipo kadhaa kama pale nbc posta, mwembe yanga, magomeni garden.
Arusha kuna st. Theresa, pale kwa mkuu wa mkoa ingawa ni madogo madogo hayo maeneo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.