Recent content by Albert p

  1. A

    Msaada wa namba

    Naomba namba ya mtu anaefanyia kazi kituo cha Ufugaji Kitulo au mwenye namba ya kituo chochote cha ufugaji kilichopo Mbeya.Msaada tafadhali
  2. A

    Serikali yachelewesha kulipa mshahara watumishi wa umma mwezi huu wa 2

    Haujielewi mtoa post leo trh 23,serikali imetoa mishahara,ulitaka itoke trh 10?
  3. A

    Msaada please. Nimeagiza Gari kutoka Singapore

    Nampa solution ya changamoto yake, unataka nijitangaze au? Akiona umuhimu atanitafuta
  4. A

    CHADEMA tupeni mahesabu ya matumizi huko hospitali Nairobi

    Ww boya! Tunachotaka mwenzetu apone.Akili yako matope
  5. A

    Kuhusu wizi Mchanga wa dhahabu Bunge kimya ila kuhusu Makonda Wabunge wote waliungana ..Kulikoni??

    Kipindi kile wakina Zitto,Lissu na wengine walipinga walionekana wachochezi! Hii issue sio nyepesi maana kuna mikataba.Viongozi Wa CCM walikuwa wanapiga makofi, Viongozi wetu wengi ni wanafiki.Ni kweli tunaibiwa na raisi anachosema ni kweli lkn vitu vilitakiwa kufanyika mwanzoni kabsa tungekuwa...
  6. A

    Kuhusu wizi Mchanga wa dhahabu Bunge kimya ila kuhusu Makonda Wabunge wote waliungana ..Kulikoni??

    Zilihitaji process kabla ya kusitisha,unajua impacts zake kwa cku za usoni?
  7. A

    Kuhusu wizi Mchanga wa dhahabu Bunge kimya ila kuhusu Makonda Wabunge wote waliungana ..Kulikoni??

    Mikataba si iliwekwa na haohao wapiga makofi! Leo watatuambiaje?
  8. A

    Asali mbichi inapatikana

    Dar sehemu gani?
Back
Top Bottom