Recent content by albert damian

  1. A

    Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

    Crdb wana makato mazuri na riba iko chini
  2. A

    MOSHI MJINI: CCM Jipangeni vizuri ili kuleta mabadiliko ya kweli!!

    Magambaa wanatapata Sanaa..ccm tulishaizikaa moshi mjini..
  3. A

    Natafuta mchumba

    Ninafanya kazi na ustawi wa jamii
  4. A

    Natafuta mchumba

    Wadau, Mimi ni kijana wa kiume umri miaka kati ya 25-26.Ninatafuta mchumba mwenye tabia njema na upendo wa dhati, awe na umri kati miaka 24-22.Sibagui dini wala kabilaa kwa alie tayari. Tuwasiliane kupitia No 0755519292
  5. A

    Kwa bajeti iliyopitishwa naombeni ongezeko la mishahara ya walimu

    Hiyoo wavutii ya serikalii ipi..inayoishiaa na co..kuna utata hapo
  6. A

    Fanya hivi kumpata anayekufaa

    Wakuu nimekua nikiomba Mungu anipatiee fungu je ma..(mke mwema) ingawa umri hausubiri..lakini ninaamini Mungu wangu hachelewii
  7. A

    Kwa bajeti iliyopitishwa naombeni ongezeko la mishahara ya walimu

    Serikalii ijayoo tumpate kiongozi atakaekuwa anajali na anatekeleza na kusikiliza matatizo ya watumishi especially walimu ambao ni kada hakuna hâta allowance yoyote ukilinganisha na kada zingine..sio kila kitu wanaleta propaganda na ahadi ambazo hazitekelezeki
  8. A

    Kwa bajeti iliyopitishwa naombeni ongezeko la mishahara ya walimu

    Ngojaa tusubiri tuone..manake serkali yetu mipango mingi lakini utekelezaji ni tatizo
  9. A

    Kwa bajeti iliyopitishwa naombeni ongezeko la mishahara ya walimu

    Wakuu kwa bajeti hii iliyopitishwa kuna ongezeko lolote la mishaharaa hususani katika kada ya ualimu..mwenye taarfa tujuzanee
  10. A

    Sisi walimu wa shule za msingi

    Kwaiyoo mwezi wa saba unaoanza tutegemee ongezeko wakuu
  11. A

    Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

    mletaa mada lazimaa utakua na hitilafu kichwani mwako..tambua kichwa si kwajili ya kufugiaa nywele..katika watu tunaowaitaji kwa tanzania ya leo ni dr slaa..huwezi kunfananisha na rais anaejiumauma katika maamuziii...
Back
Top Bottom