Wadau,
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka kati ya 25-26.Ninatafuta mchumba mwenye tabia njema na upendo wa dhati, awe na umri kati miaka 24-22.Sibagui dini wala kabilaa kwa alie tayari.
Tuwasiliane kupitia No 0755519292
Serikalii ijayoo tumpate kiongozi atakaekuwa anajali na anatekeleza na kusikiliza matatizo ya watumishi especially walimu ambao ni kada hakuna hâta allowance yoyote ukilinganisha na kada zingine..sio kila kitu wanaleta propaganda na ahadi ambazo hazitekelezeki
mletaa mada lazimaa utakua na hitilafu kichwani mwako..tambua kichwa si kwajili ya kufugiaa nywele..katika watu tunaowaitaji kwa tanzania ya leo ni dr slaa..huwezi kunfananisha na rais anaejiumauma katika maamuziii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.