Sisi walimu wa shule za msingi

Sisi walimu wa shule za msingi

Mmeongezewa mishahara mkuu Usijali.

Mishahara mipya ya mwezi wa saba hiyo hapo chini.

TGTS B/1 TSH.460,000/=

TGTS C/1 TSH.620,000/=

TGTS D/1 TSH.867,000/=

TGTS E/1 TSH.989,000/=

TGTS F/1 TSH 1,234,000/=

Kwa maelezo zaidi tembelea.

NB MUUNDO WA KADA YA UALIMU MSINGI UMEUHUISHWA KUTOKA B HADI G. www.pmoralg.go.tz

Ilishatolewa miundo mbalimbali hutekelezaji sifuri
 
Ccm inawadanganya walimu kila mwaka na bado hamkati tamaa pia mnaendelea kuichagua walimu mnamawazo mgando mbona wenzenu madereva wameweza kudai haki zao nyinyi endeleeni kuinyenyekea ccm mtakufa masikin
 
Back
Top Bottom