Kwaiyo unataka kutuambia Magufuli hana influence kwenye maamuzi ya Mahakama? Muulize Pascal Mayalla alipouliza lile swali lake Magufuli alijibuje
Sent using Jamii Forums mobile app
Msikilizeni tena Joshua halafu msikurupuke kukoment hovyo. Joshua anasema hivi, katika hiyo mikutano mitatu ambayoSpika anasema hajahudhuria, Joshua amehudhuria mmoja na kulipwa posho na bank statement Ana yo Yeye ushahidi. Spika alimlipaje posho mtu asiyehudhuria kikao? Kwa hiyo kama tunasemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.