King klax
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 4,241
- 2,678
Zikoje?Kwa akili za Watanzania, Diamond hata akigombea Urais anashinda. Ila Diamond hajijui tu kuwa yeye ni mkubwa kuliko wanasiasa.Tena akigombea Kigoma atashinda asubuhi kabisa.
Kupiga kura kwa kuongonzwa na mahaba na siyo kumuangalia mgombea huyu atafaa kuongoza ? JE ATAKUA CHACHU YA MABADILIKO ?
ni
Hao wazee wamefilisika. Hugo diamond ndiyo ataweza kuwawakilisha?Nimedokezwa na wadau hapa Kigoma ya kwamba wazee wanamtaka Diamond agombee nafasi ya ubunge hapo kigoma mjini badala ya Zitto Kabwe.
Wanadai Zitto kawatelekeza, kahamishia harakati zake twitter na ndani ya jiji la Dar badala ya kuhudumia wanakigoma.
Magwiji hao wa siasa kigoma wanamtaka Diamond awe mgombea wao kupitia chama cha mapinduzi ,wana imani atawawakilisha Barbara,
Kama ni kweli huu ndio mwisho wa ndugu yetu Zitto aliehamishia majukumu yake Twitter.
Kila la kheri Diamond katika.utumishi wako wa ubunge, hakuna wa kukuzuia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tanzania pekee ulimwengun wanaoitwa wasaniii kujiingiza kweny siasa sijuw ni njaa.Nimedokezwa na wadau hapa Kigoma ya kwamba wazee wanamtaka Diamond agombee nafasi ya ubunge hapo kigoma mjini badala ya Zitto Kabwe.
Wanadai Zitto kawatelekeza, kahamishia harakati zake twitter na ndani ya jiji la Dar badala ya kuhudumia wanakigoma.
Magwiji hao wa siasa kigoma wanamtaka Diamond awe mgombea wao kupitia chama cha mapinduzi ,wana imani atawawakilisha Barbara,
Kama ni kweli huu ndio mwisho wa ndugu yetu Zitto aliehamishia majukumu yake Twitter.
Kila la kheri Diamond katika.utumishi wako wa ubunge, hakuna wa kukuzuia
Sent using Jamii Forums mobile app
ndo maanake!!
Zimporomoshe Mara ngapi?Diamond siasa zitamporomosha!
Anaotaka kuwanufaisha kisiasa kwa kutumia umaarufu wake ni watu wasiokubalika na Watanzania wengi hivyo awe makini
Mbona Mr 2 a.k.a Sugu, prof Jay wamo ? Kule uganda kuna Bobiwinne, kingwendu alishindwa tu. Afrika bado sanaHuu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
Huu ubunge siku hizi hauna maana tena. Niliona hata Mkulu akimpigia debe mwimba muziki wa kiume anae suka nywele kwamba nae anafaa kuwa mbunge.. Yaani haya ni mambo ya aibu mno.
Ubungo Marioo vs Mnyika.
Labda diplomatic passport!sasa anafuata nini kule bungeni ni siku hizi hakuna dili?
Hivi unawezaje kujizuia kutoa michango yako hapa JF kwa muda mrefu hivyo! Yaani toka 2007 mpaka wa leo posts zako hapa hazifiki hata kitabu/buku/1000.!!!Kama Watanzania watamreplace Zitto kwa Diamond, basi hii nchi inadeserves itawaliwe na madictator wote duniani for the next 500 years, may be generation hio itakuwa na akili.
We bro uko serious kweli, kwamba watu wa Kigoma niwapuuzi namna hiyo, wampe kura diamond. Unadhani yale mapokezi walimpokea kama mbunge.Wewe unaamini kabisa Zitto anaweza kushinda dhidi ya diamond?
Mzee baba be honest alafu pia weka ushabiki pembeni kutokana na umaarufu mkubwa aliyonayo DIAMOND na namna anavyopendwa na wanakigoma mbona anachukua vizuri tu Jimbo kwa kishindo kikubwa.We bro uko serious kweli, kwamba watu wa Kigoma niwapuuzi namna hiyo, wampe kura diamond. Unadhani yale mapokezi walimpokea kama mbunge.
Kigoma haiwezi kuweka rehani mkoa wao kwa yule dogo, trust me.... Dogo mwenyewe hawezi kuthubutu maana anajua atapata kichapo kitakatifu