Kuna la kujifunza toka SGR ya Kenya inaligharimu taifa hilo na mkopo. Inazalisha bilioni 19 uendeshaji ni bililioni 34. Walipa kodi kuumia

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kenya imeanza kuilipa #China mkopo iliotumia kujenga SGR baada ya kipindi cha neema cha miaka 5 ilichoongezewa kumalizika Disemba 31, 2019. Nchi hiyo inalazimika kutumia kodi kulipa deni hilo kwa sababu mapato ya SGR kwa mwezi (TZS 19 bilioni) hayamudu gharama za uendeshaji (TZS 34 biloni).

Serikali ya Kenya imethibitisha kuwa tayari imeweka mpango wa kutuma TZS 227.6 bilioni kwenda Benki ya Exim ya China, ambayo ndiyo mkopeshaji.

Mei 2014 Kenya iliingia makubaliano ya kukopa TZS 7.4 trilioni kutoka benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi.
 
Mimi sijaelewa, kwa hiyo mlitakaje kwamba SGR ijengwe bure? Kama tu kununua gari watu wanakopa ije kuwa kujenga SGR?
 
Pamoja na kwamba hatutaki SGR ijengwe Bure, tulipaswa kufanya kitu kinaitwa Comperative advantages kwa njia ambayo itakuwa na unafuu kidogo
#Kenya imeanza kuilipa #China mkopo iliotumia kujenga SGR baada ya kipindi cha neema cha miaka 5 ilichoongezewa kumalizika Disemba 31, 2019. Nchi hiyo inalazimika kutumia kodi kulipa deni hilo kwa sababu mapato ya SGR kwa mwezi (TZS 19 bilioni) hayamudu gharama za uendeshaji (TZS 34 biloni).

Serikali ya Kenya imethibitisha kuwa tayari imeweka mpango wa kutuma TZS 227.6 bilioni kwenda Benki ya Exim ya China, ambayo ndiyo mkopeshaji.

Mei 2014 Kenya iliingia makubaliano ya kukopa TZS 7.4 trilioni kutoka benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi.
Akili yenu mnaijua wenyewe! Hamna la maana kila kitu kupinga hasa cha maendeleo
 
Reli ilitakiwa kwenda kwanza Tunduma na sio Rwanda

Lazima tuangalie magari mengi yanayotoka bandarini yanapita njia gani?

Kipaumbele 65% ya export ya mizigo inapitia Tunduma ivyo Tunduma ndio kuna biashara zaidi.

Serikali isafirishe Mizigo tu kwenye abilia atafutwe mwekezaji.

Mwekezaji alitakiwa kutafutwa awekeze kubeba abilia alipe kodi tulipe mkopo lakini tofauti na apo tutapata hasara tupende tusipende.
 
#Kenya imeanza kuilipa #China mkopo iliotumia kujenga SGR baada ya kipindi cha neema cha miaka 5 ilichoongezewa kumalizika Disemba 31, 2019. Nchi hiyo inalazimika kutumia kodi kulipa deni hilo kwa sababu mapato ya SGR kwa mwezi (TZS 19 bilioni) hayamudu gharama za uendeshaji (TZS 34 biloni).

Serikali ya Kenya imethibitisha kuwa tayari imeweka mpango wa kutuma TZS 227.6 bilioni kwenda Benki ya Exim ya China, ambayo ndiyo mkopeshaji.

Mei 2014 Kenya iliingia makubaliano ya kukopa TZS 7.4 trilioni kutoka benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi.
Yakenya ni yakenya na upumbavu wao
Haturudi nyuma kamwe
Na muda wowote Kipande kingine kitatangazwa kujengwa
Mwendo mdundo
 
technically,
Ukiangalia comparative advantage hata kwa ushahidi wa mazingira tu, reli inatakiwa kwenda Lake zone, itahudumia nchi nyingi zaidi kuliko ikienda Tunduma, huko kuna Uganda, South Sudan, Burundi, Rwanda, Congo na ndio maana serikali imechukuwa hecta 600 maeneo ya FELA Mwanza.

Mizigo yote ya nchi hizo itakuwa inachukuliwa Mwanza na malori na sio Dar tena, kuunguza distance, kuleta efficiency kwenye bandari, na kupanua wigo wa ajira, Tunduma sana sana ni kulenga Zambia, wewe unafikili kwann mkoloni alijenga reli ikaenda hadi Mwanza? More than 100 years ago?
 
Kenya hii hii ya Uhuru Kenyatta kipenzi cha wanachadema, mfano bora wa viongozi Afrika nzima kwa mujibu wa chadema?

Mungu ibariki Kenya, Mungu mbariki uhuru Kenyatta (in Mmawia's vois)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yakenya ni yakenya na upumbavu wao
Haturudi nyuma kamwe
Na muda wowote Kipande kingine kitatangazwa kujengwa
Mwendo mdundo
FB_IMG_1578020401500.jpg
 
Reli ilitakiwa kwenda kwanza Tunduma na sio Rwanda

Au kote Rwanda Tunduma ila kipaumbele 65% ya export ya mizigo inapitia Tunduma ivyo Tunduma ndio kuna biashara zaidi.

ilitakiwa kuwa ya mizigo sio abilia.

Mwekezaji alitakiwa kutafutwa awekeze kubeba abilia alipe kodi tulipe mkopo.
Tunduma hakuna wasukuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakopa IST kwaajili ya familia ni sawa kabisa, lakini umenunua Scania full trailer, gharama ya uendeshaji kwa siku ni kubwa kuliko mapato ya siku, hapo sio sawa.


Kwa hiyo ulitakaje? Tuache kujenga Reli?
 
Back
Top Bottom