Recent content by Albano Daud

  1. Albano Daud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Naona unajitaidi kujifariji.. pole kwa yote yaliyokukuta 😆.
  2. Albano Daud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Najaribu kuwazia uzi huu unalenga nini 😁, hasa hapo kwenye " usitoe kila kitu"
  3. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Bongo Zozo amshtaki Mtanzania aliyemtishia kifo na matusi

    Zote hizo ni nchi ngumu 😀😀
  4. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini mimi?

    CHAGUA MMOJA KATI YA HAWA WAWILI. 1. YESU KRISTO (Pacifist) Mathayo 5:44 imeandikwa wapendeni adui zenu. Mathayo 18: 22 Samehe 7 ×70. Math 22: 39, 19: 19, Luk 10: 27 Imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako. 2. MUHAMMAD (Kiongozi wa kikundi cha Waislamu) Al kisasi khaki, jino kwa jino
  5. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Mbunge, Jesca Yuda Mbogo: Sera ya Matibabu bure haitufikii vyema wanawake, Unakwenda kujifungua unaambiwa utachangia matibabu

    mkuu nisaidie nielewesha, kwamba kuna watu tanzania hii wanatibiwa bure..?
  6. Albano Daud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    jambo lenyewe la mwanamke kujiingiza kwenye siasa N na mwanamke Kupiga kura ni mambo ya kikafiri,. Ni mpango wa ibirisi kumtoa mwanamke pahala pake na kumuaribu.... wenyewe wakidai jambo hilo ni la kisasa na kiusawa wakipotosha NENO la MUNGU, Bali lah jambombo hilo ni la KIKAFIRI.
  7. Albano Daud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    naona ndugu yetu unalalmika kisiasa.. Ama kweli wanasiasa si watu wazuri wametia mchanga kitumbua chako. :D
  8. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa Paschal Mayalla: Nani alitoa amri ya risasi au ni sheria ilijiandaa kulinda Jamhuri?

    Kuna mda maswali yenu ni magumu mno. Yaani hata ingekuwa usingeweza kujibu.
  9. Albano Daud

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ambao mpo kwenye mahusiano mnavyowasiliana kila siku huwa mnaongea nini?

    Mambo ya mapenzi yanachosha
  10. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Huenda Dkt. Mwigulu Nchemba akawa waziri mkuu kwa awamu tatu mfululizo kabla hajawa Rais wa JMT 2040-2050

    Kwa hiyo uyanganyika ni nonsense..!?
  11. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa: Maridhiano ni jambo la hiari sio kulazimishwa

    Hawa kila nkiwasikiliza nahisi kichwa kinaniuma tu..
  12. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Mahakama yataifisha mali za mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu

    Yajayo yanafurahisha.
  13. Albano Daud

    JamiiForums Tanzania Huenda Dkt. Mwigulu Nchemba akawa waziri mkuu kwa awamu tatu mfululizo kabla hajawa Rais wa JMT 2040-2050

    We jamaa ni mtanganyika mzanzibari.!?
Back
Top Bottom