jamani mmmmmmmmmmmm!!! inaumiza sana kusikia habari kama hizi,na kama wewe ni Mtu wa Mungu Yesu muumba wa vyote, mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa kiumbe chake na kukipa uhai kiumbe chake. jamani kwa hiyo hajulikani alipo hadi sasa? au ??????????????
Mtu mwingine wa kumhurumia ni Chiku Abwao.Alifikiri Zito ata pata wabunge wa viti maalumu apate kupitia huko wasiambulie hata kiti kimoja cha upendeleo
Sasa wewe unafikiri umungu mtu utaendelea kuvumiliwa na Mungu aliye hai?kwani huoni Ghana,Gambia ,Zambia ,Kenya, Malawi nk unafkiri vyama tawala huko hawakupenda kung'ang'ania madarakani?
nyi maccm mnadakianini?Hamna dini nyinyi mnatumia dola na msajili kuvuruga vyama vingine.Wamepata mafanikio ya kutisha kupitia UKAWA,tazama wabunge Bara mpaka Kusini imekuwa ngome yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.