Recent content by Alatuhiga

  1. A

    Makambako: Mwandishi wa Raia Mwema avamiwa na kukamatwa na Polisi nyumbani kwake saa 9 alfajiri. Polisi wakana kumkamata

    jamani mmmmmmmmmmmm!!! inaumiza sana kusikia habari kama hizi,na kama wewe ni Mtu wa Mungu Yesu muumba wa vyote, mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa kiumbe chake na kukipa uhai kiumbe chake. jamani kwa hiyo hajulikani alipo hadi sasa? au ??????????????
  2. A

    Picha: Wananchi wakinunua kadi za ACT wazalendo kwenye kampeni.

    Mtu mwingine wa kumhurumia ni Chiku Abwao.Alifikiri Zito ata pata wabunge wa viti maalumu apate kupitia huko wasiambulie hata kiti kimoja cha upendeleo
  3. A

    Lowassa: CCM isijidanganye

    Sasa wewe unafikiri umungu mtu utaendelea kuvumiliwa na Mungu aliye hai?kwani huoni Ghana,Gambia ,Zambia ,Kenya, Malawi nk unafkiri vyama tawala huko hawakupenda kung'ang'ania madarakani?
  4. A

    Zitto, ACT Wazalendo hatarini Kufilisiwa

    Huyu kijana arudi tu cdm kabugi step,hamna chama huko
  5. A

    Mazuri na mabaya ya Rais Magufuli tangu awe rais wa Tanzania

    Mi najua hafai kwa sababu mkisha kuwa na Rais anaye fanya maisha yenu kuwa magumu sijui atakuwa anawa faa nini?
  6. A

    Wapemba wateswa na uamuzi wa Mh. Seif Sharif Hamad

    Ni utaratibu wa wa roho wa madaraka wakishindwa uchaguzi kulazimisha wa rudie hadi wa shinde wao
  7. A

    Mwaka mmoja CCM kwisha

    kwanini unasema x mass?Hiyo x ndiyo inakaa badala ya Christ? usitumie X kwa sababu huo ni mpango wa ibilisi kumfuta Bwana Yesu
  8. A

    Marais watakaohudhuria sherehe za Uhuru ni Mugabe, Nkurunziza, Kabila, Museveni, Kagame...

    Ukiangalia hiyo list ni ya wababe wasio zingatia utawala wa sheria kasoro wachache
  9. A

    Mahakama Kuu yafuta kesi ya madai dhidi ya Askofu Kakobe kwa kukosa mashiko

    Patrick alisha iacha imani,ndiyo kuanza vituko namna hii
  10. A

    Mahakama Kuu yafuta kesi ya madai dhidi ya Askofu Kakobe kwa kukosa mashiko

    Kulikuwa na ushauri wa bure kuwa mtumishi wa Mungu kama Kakobe usi jaribu kufikiri utapambana naye kwa uongo na kufanikiwa
  11. A

    Mahakama Kuu yafuta kesi ya madai dhidi ya Askofu Kakobe kwa kukosa mashiko

    Kwani wewe una fikiri yuko wapi?Ni mtumishi wangazi ya juu mno ndiyo maana humuoni
  12. A

    Tutasimama kama UKAWA kwenye chaguzi zijazo, je Bwana yule atasimama kama CCM "B"?

    nyi maccm mnadakianini?Hamna dini nyinyi mnatumia dola na msajili kuvuruga vyama vingine.Wamepata mafanikio ya kutisha kupitia UKAWA,tazama wabunge Bara mpaka Kusini imekuwa ngome yao
Back
Top Bottom