Kwa waliotumia ndege za fast JET...> Route ya mbeya haijawahi kufika 70,000. Jamani 70,000 ni nauli ya basi....regardless.
Hi yo Laki tatu anayoizungumzia ni nauli ya Business Class......
Fast JET ilikuwa 70,000?? We we utakuwa unazungumzia nauli ya Basi?? MATEMA, ABOUD, HOOD etc.. Mkuu hakikisha Tiketi yako, maana naona unachanganya nauli ya basi na ndege.
Mnaogopa chama kuwafia mkononi? Tulieni baada ya 2020 mje na mrejesho........ Mlimshindwa JK mtaweza kupambana na chuma.?? Mtamuweza JIWE ?? Acheni kuweweseka wenzenu wanafunga mahesabu...
Huyu ndio yule alinaswa akipiga shoo ya aina moja?? Jamani DENGUE ipo, tuwasihi tu hawa wachungaji wakae kimya kwenye mambo yanayohusu afya za watu, wao waendelee kula watumishi wao.
Tuwaulize tu mnaodhani hili jambo ni jipya! Misaada na mikopo yote serikali inayoipata huingia kwenye "Mfuko Mkuu wa serikali", "Consolidated Fund".
Kila mwaka CAG hukagua mapato na matumizi ya serikali i.e Kinachotoka na kuingia kwenye mfuko mkuu wa Serikali.
Kinachosainiwa sio kipya, tulieni.....
Kwani unadhani Tshekedi ni mpinzani ?? Kabila aliwachezea mapichapicha wazungu na Mapadri wa kanisa Katoliki akawapiga chenga ya mwili.....
Walipokuja kuelewa mambo yakawa Tatu bila......
Unawezaja kuwa rais ilhali 80% ya mawaziri ni upinzani, Spika wa bunge mpinzani , 80% ya wabunge...
Chuki inatoka wapi hapo? Kama ofisi ya CAG inapaswa kukaguliwa kwanini isikaguliwe? Kumbukeni anayekaguliwa siyo CAG bali ni ofisi ya CAG, Acheni porojo??
Awamu hii sio ile, hii ni awamu ya Tano ambayo wabunge wa upinzani ukiacha wachache wanaogopa kwenda kuwatembelea wapiga kura wao.
Ngoya JPM awapige ziara ya siku 8
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.