YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Marekani ni nchi iliyoendelea kiviwanda na kiuwekezaji ndio maana hata visa ya Marekani kupata shida wanaringa pesa wanazo tena dola ambazo sisi tunahangaika kuitafutia pale ndio kwao wanazo tele.Huwezi iga Marekani Marekani akija Tanzania visa anapatia airport wewe mwenzangu na Mimi visa ya kwenda Marekani utahenya hadi ukome.Marekani wanahitaji wawekezaji bila kujali Wamesoma au la ila kiwango kinaanzia dola laki tano kwenda juu.Kama unazo kanunue municipal bonds za Marekani ukishanunua omba permanent resident permit ya kuishi Marekani kama mwekezaji wa hizo municipal bonds ulizonunua unapewa na permanent residence permit bila longo longo yoyoteNenda marekani ndo utajua, sio original, hapa, vitumwe na chuo vikiwa sealed....