Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,903
- 95,182
Kama ATCL walidhania watabakia pekee yao kwenye biashara za usafirishaji wa anga basi walikosea sana.
Shirika la ndege la QATAR AIRWAYS linazindua route yake ya kutoka dsm kwenda Kilimanjaro kwa kuanzia na baada ya muda itaongeza na mwanza.
Nawapongeza kwa kusikia kilio cha watanzania kwa kutuongezea option kwenye usafiri.
Shirika la ndege la QATAR AIRWAYS linazindua route yake ya kutoka dsm kwenda Kilimanjaro kwa kuanzia na baada ya muda itaongeza na mwanza.
Nawapongeza kwa kusikia kilio cha watanzania kwa kutuongezea option kwenye usafiri.