johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,317
- 142,530
- Thread starter
- #21
Kwani NAO na CAG ni kitu kimoja au ni tofauti?!Miaka yote CAG amekuwa akikaguliwa
Na kama Hakuwa akikaguliwa na mwenye jukumu la kuteua Mkaguzi ni Bunge na halikuwa likifanya hivyo jee huo ni udhaifu wa Bunge au CAG?
Ndugai bado kiungulia cha kuitwa dhaifu hakijamuisha
Walio karibu nae wamshauru alambe majivu ku neutralize Acid kifuani
Pia wamkumbushe CAG sio Accouting Officer wa Ofisi ya ukaguzi wa Taifa kwa kuwa walioifuma Structure ya Ofisi ile walitabiri uwepo wa Kina ‘Ndugai’!