Recent content by Al

  1. A

    Madiwani Buchosa wakubali kuhamia Geita ili kutoa fursa kuanzishwa mkoa mpya wa Chato

    Hiyo njia ya Kamhanga inapitika? Kuna usafiri wa uhakika? Kwa sababu wote wanaotoka Buchosa kwenda Geita hupitia Sengerema tu. Huko unakosema ni njia zisizopitika
  2. A

    Madiwani Buchosa wakubali kuhamia Geita ili kutoa fursa kuanzishwa mkoa mpya wa Chato

    Kutoka wapi Buchosa kwenda Geita kupitia wapi hapo unapopata km 58?
  3. A

    Mwalimu Mkuu abainika kubaka wanafunzi wake huko Wilayani Kisarawe

    Chanzo cha taarifa hii ni kipi? Taarifa yako haioneshi umeipata wapi kama ni kwa Kamanda wa Polisi, Mkuu wa Wilaya ama Afisa Elimu. Jaribu kuweka taarifa ambazo zina chanzo cha habari
  4. A

    Hivi kweli DIT uploading selection imewashinda mpaka leo!!?!

    Tayari DIT wameapload ila hiyo document haijakaa vizuri sijui imekaaje maana majina machache na namba nyingi
  5. A

    Wale wote wanaotaka kusoma engineering, Uliza swali lolote utapata majibu!

    Nimemaliza form six PCM mwaka 2017 na nimepata D masomo yote. Ninapenda kosoma kozi yoyote ya uhandisi au masuala ya architecture hapo UDSM au Ardhi University. Je kwa ufaulu huu unanishauri niapply kozi gani kulingana na ushindani uliopo na soko la ajira mara baada ya kumaliza kozi? Natanguliza...
  6. A

    Interlocking brick making machine - manual

    Unaweza ukaagiza Dar na ikasafirishwa kama Mwanza zitakuwa hazijaanza kutengenezwa
Back
Top Bottom