Hiyo njia ya Kamhanga inapitika? Kuna usafiri wa uhakika? Kwa sababu wote wanaotoka Buchosa kwenda Geita hupitia Sengerema tu. Huko unakosema ni njia zisizopitikaUkitumia barabara, Buchosa kwenda Mwanza ni mbali kuliko Buchosa kwenda Geita. Kumbuka kutoka Buchosa kwenda Geita haupiti Sengerema bali kuna njia ya mkato kwenda Geita kupitia Kamhanga.