Ukiondoa tendo la ndoa watu wengi hawatakuwa na sababu ya kuoa.
Tendo la ndoa ndiyo sababu ya kwanza ya kuvunja ndoa nyingi sababu zingine ni nyongeza tu
Mtu analala na DNGRS mbili back to back hata kwa wiki mbili, wapo wanaenda mbalo zaidi anahamia chumba cha watoto wenu wa kiume au whatever, wapo wengine mkikaribia muda wa kulala anaanzisha visa ili mgombane kila mmoja akalale kivyake tu.
Kuna wanaoendea mbali zaidi wanalala na panga
Kwa sababu wanaume zao wanatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kuwapendezesha hao wanawake zao, kwa ujinga wao wanawake wanaona kama waume zao hawawajali.
Wanaamua kuwa wakorofi majumbani, hawatoi tendo wanasingizia vitu vya ajabu ajabu.
Wanawake siyo binadamu kabisa
Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu.
Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.