Recent content by Al Watani

  1. Al Watani

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Tuliambiwa hela ni za rais au umesahau ?
  2. Al Watani

    Kinachowaunganisha Zaidi Wanandoa Maisha yao Yote ni Tendo La Ndoa

    Ukiondoa tendo la ndoa watu wengi hawatakuwa na sababu ya kuoa. Tendo la ndoa ndiyo sababu ya kwanza ya kuvunja ndoa nyingi sababu zingine ni nyongeza tu
  3. Al Watani

    Kinachowaunganisha Zaidi Wanandoa Maisha yao Yote ni Tendo La Ndoa

    Tendo la ndoa ni asilimia 90 ya ndoa hizo blabla zingine ndiyo zinafuata. La
  4. Al Watani

    Sababu ambazo hufanya wanandoa kunyimana tendo la ndoa kwa makusudi, changamoto zake na madhara yake

    Wapo wengi tu wanamiaka hawajapewa tendo na wake zao.
  5. Al Watani

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Ule ulikuwa wizi wa mchana nashukuru Mungu yule mwehu alitolewa wozarani
  6. Al Watani

    Sababu ambazo hufanya wanandoa kunyimana tendo la ndoa kwa makusudi, changamoto zake na madhara yake

    Mtu analala na DNGRS mbili back to back hata kwa wiki mbili, wapo wanaenda mbalo zaidi anahamia chumba cha watoto wenu wa kiume au whatever, wapo wengine mkikaribia muda wa kulala anaanzisha visa ili mgombane kila mmoja akalale kivyake tu. Kuna wanaoendea mbali zaidi wanalala na panga
  7. Al Watani

    Sababu ambazo hufanya wanandoa kunyimana tendo la ndoa kwa makusudi, changamoto zake na madhara yake

    Ni mwanamke muuaji tu anayeweza kumnyima tendo la ndoa mwenzi wake. Ukiona unanyimwa tendo la ndoa na mke wako jua unaishi na muuaji
  8. Al Watani

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kwa sababu wanaume zao wanatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kuwapendezesha hao wanawake zao, kwa ujinga wao wanawake wanaona kama waume zao hawawajali. Wanaamua kuwa wakorofi majumbani, hawatoi tendo wanasingizia vitu vya ajabu ajabu. Wanawake siyo binadamu kabisa
  9. Al Watani

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Yule mjinga hakujua alikuwa anadili na watu katili kiasi gani. Hakujua alikuwa anashughulika na watu ambao hata aibu ndogo walikuwa wamshaishiwa tena.
  10. Al Watani

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Alikiwa mpumbavu kupitiliza aliamini mfumo walioutengeneza yeye na baba yake mdogo wa Chato ungemuogopa.
  11. Al Watani

    Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Alikuwa mpumbavu kupindukia, mfumo alioshiriki kuutengeneza na kuutetea umemtsfuna masikini ya Mungu. Ujasiri wa nzi matokeo yake huwa ni kifo chake mwenyewe.
Back
Top Bottom