Recent content by Al Watani

  1. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Y tena atakusumbua sana na mtoto akibeba hiyo sumu ukubwani napo patachimbika
  2. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Mtu akizalishwa nje ya ndoa anatakiwa aijue oosition yake na aplay lowkey. Sasa ukikutana na mpuuzi inakuwa tafrani tupu.
  3. Al Watani

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kama kuua wakati na baada ya Oktoba 29, 2025 ni kazi ya kutukuka, Tume mlizounda ni za nini?

    Wamekuwa vichaa matendo na maneno yao yanadhihirisha hilo
  4. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Nchi iliishi kwenye falsafa za Mwalimu Nyerere kwa miongo minne tu baada ya ikaingia kwenye mikono ya wahuni wanaoishi kwa mtazamo wa LIWALO NA LIWE. 2015 Mfumo ulituingiza chaka kwa mara ya kwanza nchi ikapata kiongozi mkuu kwa BAHATI MBAYA. yaliyofuata ni kulia na kusaga meno kwa kila mtu...
  5. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    Ni mchezaji mzuri sana.
  6. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Wapo wanaohudumiwa vizuri tu na bado wanaleta timbwili.
  7. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Hiyo ajali kazini itakutesa sana, unaweza kukuharibia hata mipango yako ya maana
  8. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Katika kosa ninalolijutia ni hili, huwa linanipa mateso makubwa sana. Ukizaa nje ya ndoa halafu mzazi uliyezaa naye akawa hana akili timamu na adabu atakutesa kama una familia stable bora hata asiijue tu.
  9. Al Watani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    1. Black thong 2. Kujivua mwili mzima 3. Moaning louder 4. Hiperpigmanted Thighs
  10. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Kombe la Dunia 2026; Mchezaji gani ameachwa na timu ya Taifa unadhani alistahili kuitwa?

    1.Denzel Dumfries Netherlands 2. Mika Godts Belgium 3. Maguire England 4. Keprin Thuram France 5. Koke Spain
  11. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Kombo: Rais Samia amesemwa na kuchorwa sana baada ya uchaguzi, wakati amefanya kazi kubwa kutulinda kuwa na uhai

    Kuna watu tu upumbavu wao huwa unaonekana wazi unaweza kuushika kwa mikono 🤌
  12. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    Hana hata uwezo wa kukibeba
  13. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Taarifa: John Heche yuko nje ya Nchi kwa suala Muhimu sana kwa Nchi

    Mazuio haya yamekuwepo mengi halisi na bandia
  14. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Taarifa: John Heche yuko nje ya Nchi kwa suala Muhimu sana kwa Nchi

    Siyo kwamba hatutambui haki za raia anaweza kuonewa tu kama wengine wanavyoonewa. October kabla ya uchaguzi alionewa tu akawekwa kizuizini almost miezi miwii kwani wakijua ametoka nje si ndiyo watatumia hiyo kumuonea ?
Back
Top Bottom