Recent content by Al Watani

  1. Al Watani

    JamiiForums Tanzania TEMBO WASUMBUA ISHAKUA KERO HUKU

    Pori la Ugalla lina tembo wengi sana Sema huko kuna afadhali Tunduru na Nachingwea tembo wanapishana kama bodaboda.
  2. Al Watani

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Unazungumzia watu ambao wanaweza kugeuza msimamo wao kwa ahadi ya pilau tu. Hao watu wanaweza vipi kuwa na ushahiwishi ?
  3. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa ovyo kuwahi kufanywa duniani

    Yes, whatever the Case Choo cha kukaa ni uvumbuzi wa hovyo hauzingatiihata safety precaution kwa watumiaji.
  4. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa ovyo kuwahi kufanywa duniani

    Watu walitakiwa waandika specific for Old People ila hili kuweka vyoo vya kukaa hasa kwenye public Toilets ni upuuzi.
  5. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa ovyo kuwahi kufanywa duniani

    Upo ugunduzi mwingi wa hovyo ila choo cha kukaa ni namba moja
  6. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Nandy na Billnass wafanya kufuru kwenye birthday party ya NayaBill

    Kwani hao watoto ni wa kwao ?
  7. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Members wenye picha ya Putin kwenye profiles zao ndiyo wanaongoza kuandika maudhui ya ngono hapa jukwaani wakati role model wao hata demu hana. Sijui sababu lakini
  8. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Namtafuta baba yangu Gervas Kalilo

    Utampata tu ongeza juhudi
  9. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    M August 2027 siyo mbali sana tuombe uzima
  10. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Uchaguzi wa 2022 haukuwa na mauzauza yoyote Ruto alishindwa fairly ila Odinga hakuwa mshindani anayekubali kushindwa. Na sasa tishio kuu (Odinga ) halipo atashinda kirahisi tu
  11. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Hakuwa anagombea yeye ila alikuwa kwenye kambi za washindi wa urais
  12. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Kuna ushindi wa mauza uza kuzidi wa 2007 uliosababisha mauaji ya wakenya na wa 2017 uliotenguliwa Mahakamani ?
  13. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Hao wasomi hawakuwepo 2007, 2012, 2017, 2022.? Katika miaka yote hiyo Ruto amekuwa kwenye upande ulioshinda uchaguzi ikiwemo 2008 iliyosababisha mauaji. Chaguzi zote za kenya tangu 2007 Ruto amekuwa kambi iliyoshinda uchaguzi
  14. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Sasa hivi baba hayupo na Uhuru yupo hawa kina Gachagua hawawezi kumtikisa Ruto atawashinda kwa land Slide victory
  15. Al Watani

    JamiiForums Tanzania Mwakani 2027 William Ruto ni ngumu kupenya

    Kifo cha Odinga ilikuwa relief kubwa sana kwa Ruto hao ODM wenyewe watagawanyika vipande vipande akiwemo Odinga ameshatangaza kumuunga mkono Ruto
Back
Top Bottom