Nchi iliishi kwenye falsafa za Mwalimu Nyerere kwa miongo minne tu baada ya ikaingia kwenye mikono ya wahuni wanaoishi kwa mtazamo wa LIWALO NA LIWE.
2015 Mfumo ulituingiza chaka kwa mara ya kwanza nchi ikapata kiongozi mkuu kwa BAHATI MBAYA. yaliyofuata ni kulia na kusaga meno kwa kila mtu...
Katika kosa ninalolijutia ni hili, huwa linanipa mateso makubwa sana.
Ukizaa nje ya ndoa halafu mzazi uliyezaa naye akawa hana akili timamu na adabu atakutesa kama una familia stable bora hata asiijue tu.
Siyo kwamba hatutambui haki za raia anaweza kuonewa tu kama wengine wanavyoonewa.
October kabla ya uchaguzi alionewa tu akawekwa kizuizini almost miezi miwii kwani wakijua ametoka nje si ndiyo watatumia hiyo kumuonea ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.