ni ufafanuzi uharo kutoka tbc...walipewa maagizo wakate haraka matangazo, ni upuuzi na sizani kama wanaelewa kuwa kwa mtindo huu wanajenga hisia za chuki dhidi yao kutoka kwa wananchi na wanaonekana wako kwa ajili ya chama flani tu...watu sasa hivi wameelimika na kwa mtindo huo wao ndio...
Wameahirisha bunge lao mpaka saa kumi..ilikuwa ni zomeazomea tu, wabunge hawataki kukaa, mwenyekiti wa muda kashindwa kabisa kuwanyamazisha hatimae akaahirisha bunge. Kuna baadhi ya wabunge walitaka kupigana...hiyo jioni sijui itakuaje maana niliyoyaona leo asbh ni balaa...
Hassan Marin..yuko safi sana, unless kama huwa huaangalii media za nje. Sioni kama ana tatizo, nimetizama mahojiano mengi ktk Aljazeera, CNN, CNBC kwa watu maarufu wenye heshima sana duniani lakini pozi za watangazaji hata maswali wanayoouliza pengine ni ya kipuuzi sana kuliko hata ya salma...
Safi sana kaka...huyo anaemsifia Sharon ni mvivu wa kusoma historia na ni mzembe wa akili kama sio ana kansa ya ubongo. Sharon alikuwa muuaji na ndio maana mungu nazani kamtesa katika koma miaka 8. Kaua watoto, wanawake wa kipalestina wasio na hatia...MUNGU AMLAZE MOTONI....
Mchezo huo upo sana na Bandarini pale long room...kuna siku nilikua nalipia ushuru wa gari jamaa akaniliza 30,000 akasingizia zimepungua wakati pesa nilikuwa nimetoka kuzitoa bank muda huo huo na sijatoa hata sent. Nilikasirika na nilizua timbwili kubwa sana pale...yaani wezi sana bank...
Sizani kama Al-jazeera wana leongo baya kuhamisha location, tatizo wana reporter wengi sana wametapakaa SA na wanataka kuonyesha matukio mengi yanayohusiana...hakuna uadui wowote TZ na Al-Jazeera, hakuna Chanell bora isiyo na mipaka wala matabaka kama Al-jazeera...
Wauza unga, watumia unga, wasafirishaji unga ni ndugu zetu marafiki wetu, majirani zetu...tunajuana na tunawajua sana. Ni wajibu wa kila raia mwema kusaidia kwa hicho wanachoita ''polisi jamii''...hata hiyo list ni sisi wenyewe watanzania raia wa kawaida ndio waliotaja....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.