Recent content by al-bauly

  1. al-bauly

    Msaada wa orodha ya vituo vyote vilivyofanya mtihani wa CSEE kwa mikoa

    Habari zenu, Nilikuwa naomba orodha ya shule zilizofanya mitihani ya kidato cha 4 mwaka 2019 kwenye mpangilio wa mikoa.
  2. al-bauly

    NBA 2017/2018 Season Special Thread

    Ona LeBron James alivoitawanya Celtics
  3. al-bauly

    Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

    Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?
  4. al-bauly

    Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?

    Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory? Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?
  5. al-bauly

    Je wajua kuwa wachezaji wa mpira, basketball au mchezo wowote wana IQ na photographic memory?

    Miongoni mwa wachezaji wenye uwezo mkubwa kama LeBron James wanaweza kukumbuka matukio yote ya kwenye mechi wanazocheza? Angalia hapa kupitia YouTube jinis LeBron James anavostaajabisha watu kwa kumbukumbu sahihi
  6. al-bauly

    Watu wengine wananisaidia sana kuliko wa imani yangu

    Nafkiri jiangalie hizo project zako kama zinaenda kinyume na iman zao pia, Hakika biashara ya Bia nitakukatalia na nitakuwa negative.
  7. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Swali lako alilijibu bondia maarufu Muhammad Ali na pia Malcom X.
  8. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Swali lako alilijibu bondia maarufu Muhammad Ali na pia Malcom X.
  9. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    https://abdurrahmanorg.files.wordpress.com/2014/08/the-search-for-the-truth-salman-al-faarisse-dr-saleh-as-saleh.pdf Kazi kwako sasa, kuutafuta ukweli au kukaa hapo na kubisha.
  10. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Sio nchi za watu weusi pekee zilizotawaliwa.
  11. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Haya mambo ya nasikia nasikia, ushasikia umbea mara ngapi ukautafuta ukwel? endelea kusikia mpaka dunia itaisha.
  12. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ulijuaje nimeyatoa kwenye QUR'AN na huijui? Ukiwa hujui usidhihirishe kuwa hujui, angalau sema usaidiwe. Ukiprove sentensi moja nimetoa kwenye QUR"AN na sehemu gani basi angalau nitajua unataka usaidiwe. Anyway sio kila mtu aanzishe uzi.
  13. al-bauly

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Kul Kulijibu swali lako na kuprove ni jambo gumu sana, ila katika uislamu tunaamini kuwa QUR'AN haikuumbwa kutokana na binaadamu, ila ALLAH ndo aliyoyaumba matamshi yake na kumshushia mtume Muhammad (pbuh), na pia tunaamini kuwa kitabu cha torah cha waisrael na injil ya wakristo pia ni vitabu...
  14. al-bauly

    Medical Students are not Creative than engineering students?

    Kila mwanaadamu ni creative, haijalishi awe medical student au engineering student. Tatizo kubwa linatoka katika mfumo wa elimu na kupandikiza tabia hizi za kuwa creative au kutokuwa creative. Wanafunzi wengi(sio wote) wa medical wanaona kazi yao kutibu magonjwa yaliyopo tu na sio kufanya...
Back
Top Bottom