Recent content by Akilinzangu

  1. A

    Polisi wavamia Tallying Center ya UKAWA na kuizima

    Haki hii imeniuthi sana inauma sana ila police wetu muwe makini sana kipindi hiki
  2. A

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Hii sasa nimaajabu ya mwaka eti baada ya miaka 8 ndio anajitokeza,hivi niulize tu ccm hawana mtu wakuwashauri na kuwapea mbinu nzuri?huwezi leta ujinga kama huo na ukatarajia watu wakusikilize,
  3. A

    Jela kwa kumtusi Kikwete na Ridhiwani

    Nashangaa na ccm huwa hawafikirii wakifanya maamuzi,ndio maana inachukiwa tu,sasa kuna mtu ameweka picha ya JUMA MWAPACHU Fb ikiwa ime editiwa akiwa uchi na malaya alafu kichwa ni yake ika mwili wa chini sio wake,kwanini aliyeweka hiyo picha asishikwe?
  4. A

    Mzee Matson Chizi Mwizi maarufu wa Kura aliyehama CCM na kujiunga CHADEMA

    Kwahiyo akiwa ccm ni halali kuiba akitoka nikosa kuiba,we msichana nenda ukazea kwanza ujue maisha.
  5. A

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Unapo jifanya huoni huku unaona nikama kuwa kuchaa,hivi unataka kujifanya hukuona dodoma ukumbi mzima ukiimba tunaimani na lowasa?swali lakujiuliza hao watu walio fanya hilo tendo wako ccm bado ama walitoka wote?unafikiri wamemsaliti lowasa?wako tu ccm kimaslai ila kura nikwa lowasa maana kura...
  6. A

    Utabiri wangu juu ya Uchaguzi Mkuu na hali ya kisiasa miaka 10 ijayo

    Wewe jifariji hivyo tu,mimi sipendi wanafki kama wewe eti huna chama wakati wewe ni mtoto wa kigogo fulani
  7. A

    Msafara wa Dr. Magufuli wazuiliwa Igoma-Mwanza

    Kwahiyo hujui kwamba watakao mpigia kura nyingi Lowasa wako ndani ya ccm?nguvu ya Lowasa nikubwa sana ccm hadi leo
  8. A

    Magufuli azomewa Mwanza

    Huwezi lazimisha watu kiongozo wasie mtaka
  9. A

    NEC tusaidieni kujibu hoja za wananchi

    Mkwere hebu fanya hili kuwa mada maana nikawa watu hawaelewi tofauti kati ya lowasa na magufuli, huyu jamaa nimuongo sana mbona ameanza kutudanganya mapema?
  10. A

    Sijawahi mwelewa Sumaye tangu akiwa CCM mpaka leo hii mkutanoni Mbeya

    1elimu 2elimu 3elimu 5...... 6..... 7.... 8.... 9.... 10.... Lowasa raisi wangu
  11. A

    Nimeshangazwa sana na kauli za Mbowe na Anna Mghwira; Ni za kumfagilia njia John Magufuli!

    Nikuulize hayo matokeo yakibandikwa anavandikiwa nani?am tutaitwa tena yakibandikwa?
  12. A

    Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Hope Raisi amesoma hii message,sina lakuongezea kabisa umesema yote
  13. A

    Balozi Juma Mwapachu arudisha kadi ya TANU na CCM, kwenye ofisi za CCM

    Kweli kile hakiwezekani duniani ni kujiongezea siku za kuishi ila mengine yanawezekana,kama huyu ni kada maarufu wa ccm anajitoa ccm nimekubali ccm imekufa tena kifo cha aibu
  14. A

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Swali raisi tu alipokuwa ccm mbona hamkusema hayo?
  15. A

    Regina Lowassa amewapoteza makada maarufu wa CHADEMA?

    watu wako majimboni wewe kuomba kura ulitaka wafanye nini kama sio kukaa mjimboni waombe kura?
Back
Top Bottom