Akilinzangu
Senior Member
- Aug 15, 2015
- 133
- 22
Kwahiyo akiwa ccm ni halali kuiba akitoka nikosa kuiba,we msichana nenda ukazea kwanza ujue maisha.
Naomba nijibiwe swali hili na yeyote....ivi hawa Cccm Ni LAZIMA kuwaganganiza watu kuwatawala hata kama wamechokwa??au kwa jili ya maslai??maana mpaka nawaonea hurumaa yaraabi..Mara Mzee mwinyi Mara maria Nyerere Mara wanachukua speech za lowassa akiwa Cccm na kuziedit star TV aonekane hafai...jamani wananchi wenzanguu...Ni ushahidi ganii ambao tunamtaka kuthibitisha kwamba hawa wenzetu are no longer exist?...wamepotezana..wamekata punzi sasa wanatapatapa kama kuku aliyekatwa shingo yaake ghafra....bye CCCM!!!
Katika kipindi ambacho CHADEMA na UKAWA wanatakiwa kurelax sana katika chaguzi zote kubwa na ndogo ni kipindi hiki, ambacho Yule mwizi maarufu wa kura aliyejulikana kwa jina la Matson Chizi (64) msukuma wa Shinyanga ameamua kujiunga na CHADEMA kwa kazi maalum ya kuiba kura za CCM na kuwaguarantee ushindi CHADEMA na UKAWA.
Kwa mara ya kwanza kulisikia jina hili, ilikuwa 2012 Arumeru kisha kwa mara ya pili nikalisikia nilipojiunga CCM na kwa mara nyingine jina hilo lilitamkwa na Dr Wilbrord Slaa katika press yake na waandishi wa habari katika ukumbi wa Serena mnamo tarehe 01/09/2015 akieleza juu ya kujiondoa kwake CHADEMA na kustaafu siasa baada ya uhuni wa kuletwa LOWASSA na timu yake ya wezi ya akina MATSON CHIZI.
Lakini nasikia bado kuna mashaka kwa CHADEMA, nasikia mwanasheria wao zuzu ninayemjua John Mallya, amesema wanachama wanapaswa kulinda kura kwa sababu CCM wamepanga kuiba. AJABU ya mwaka, mwizi amehama CCM na alikohamia ni CHADEMA na bado CHADEMA wana mashaka ya kuibiwa kura kwanini mashaka hayo wasiwenayo CCM ambae wamepoteza MWIZI wao..?
Kimsingi MBOWE na timu yako mmeshalikoroga.,subirini kulinywa tu, hakuna namna..!!
Matson Chizi (kushoto) Juma Haji Duni (katikati) na Edward Ngoyai Lowassa.
Hakuna wezi zaidi ya sisiemu,,huyo akitoka tayari ni malaika power ya wizi hana tena
uyu mama ni jinga kweli kweli naombea jamaa wa cdm wamfikishe mahakamani kwa makosa ya kimtandao ili atuthibitishie huu ujinga/upumbavu wake aloposthuyu mtoto hakosagi cha kuongea?kukosa kazi ni shida kweli kweli,ila utajuta uhaini wenu na mwampamba si bado siku 3 tujue nani ni nani?alafu umeweka records vizuri sana kumbe ccm ni wezi wa kura,maana hiyi cv ya huyo jamaa umeisema mwenyewe,na ndo maana tunasisitiza kura ni lazima tuzichunge at any cost,either mtake msitake hatutafanya kosa hilo
r.i.p ccm
Umepiga kura lakini...???uyu mama ni jinga kweli kweli naombea jamaa wa cdm wamfikishe mahakamani kwa makosa ya kimtandao ili atuthibitishie huu ujinga/upumbavu wake alopost
Naomba nijibiwe swali hili na yeyote....ivi hawa Cccm Ni LAZIMA kuwaganganiza watu kuwatawala hata kama wamechokwa??au kwa jili ya maslai??maana mpaka nawaonea hurumaa yaraabi..Mara Mzee mwinyi Mara maria Nyerere Mara wanachukua speech za lowassa akiwa Cccm na kuziedit star TV aonekane hafai...jamani wananchi wenzanguu...Ni ushahidi ganii ambao tunamtaka kuthibitisha kwamba hawa wenzetu are no longer exist?...wamepotezana..wamekata punzi sasa wanatapatapa kama kuku aliyekatwa shingo yaake ghafra....bye CCCM!!!
Kwani nene...Mambo yamekwisha, mzee wenu abaki huko achunge mifugo yake, watz wamemaliza kuchagua.