Recent content by akilimalikisuse

  1. akilimalikisuse

    Entrance exam

    Nimekuwa nominated na kwasasa nasubiria link ya usaili wa tar 28 march 2025.....tutafutane kwa ufafanuzi
  2. akilimalikisuse

    Entrance exam

    Tutafutane mkuu, mimi nimekuwa nominated na nimeambiwa nitatumiwa link (Microsoft teams) tar 28 march ndio usail
  3. akilimalikisuse

    Ndoto yako imetimia: Fully Funded Thailand Government Scholarships 2023/2024 Chulalongkorn University

    Any 2024/2025 scholarship? Nime apply ile ya China kupitia ubalozi sijui matokeo ya aplplications wanatoa mwezi wa ngapi
  4. akilimalikisuse

    Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

    Kwa maana nyingine Yanga na Simba watacheza fainali kwa Mkapa
  5. akilimalikisuse

    Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

    Pia hii ni favor kwa aliyeongoza kundi. Anakuja kwako analazimisha sare au unamfunga ushindi mwembamba ukienda kwake (second leg) anakupiga. Karata zichangwe nyumbani
  6. akilimalikisuse

    Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

    Hebu tabiri Simba na Yanga wanakutana na timu gani?
  7. akilimalikisuse

    Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwaka

    God bless you, nime apply CSC kupitia wizara (Type A) PhD...tuombeane Dua. Hivi naweza create akaunti nyingine nikaomba Type B?
  8. akilimalikisuse

    Dar: Mauaji Lemax Bar Sinza kwa Remmy. Kabla ya kujiua, Alex Korosso alimpiga risasi Gift Mushi

    Aiseee hatari sana, sasa huyo usalama wa Taifa alionyesha kitambulisho ili iweje? Si angetumia njia yoyote ampokonye hiyo bunduki? Hizi silaha kabla ya kuuzwa huwa wanatumia vigezo gani? Au nikisha uza mihogo yangu huku mkuranga naruhusiwa kununua bastola? Chamaa kajikuta kama Chuck Norris vile...
  9. akilimalikisuse

    Changamoto mbalimbali za maisha ya ndoa. Hii ni changamoto inayonikabili, karibu na wewe utueleze yako tuzitatue

    Hujamalizia stori, mlilala wote hamjalala wote? Nakusihi kama umeshakula usirudie coz wazee watamu sana utanogewa, cha msingi wahi mwanza ukaage
  10. akilimalikisuse

    Wachambuzi wetu wa soka badilikeni!

    Pamoja na mtoa thread kuonekana ume elemea kwenye ushabiki wa simba au mambo yaliyo itokea simba, bado nakupa heshima kubwa ya jicho lako pevu. Kumekuwa na ongezeko kubwa la sports pundits bahati mbaya wana chambua kwa hisia kuliko maarifa, hii ni ajenda kubwa mno na ina hitaji mjadala wa...
Back
Top Bottom