Ndiyo Maana kuajiriwa muda mwingine nakuchukia au kutoyapenda kwa mambo ya kipuuzi kama haya sijui hawa HR wa mwendo kasi wa Siku hizi wametoka wapi bila Rushwa Mtu hapati Ajira ..Something is wrong somewhere acha nimfundishe Mwanangu kutotegemea ajira ya namna yoyote huu ni utumwa
nimejifunza wanawake kwenye ndoa hawana wanachotafuta zaidi ya kugawana mali tu... sasa huyu dada anasemekana ni tajiri mkubwa kwa nini atakae kugawana mali ?
HUYO NDIYO M
HUYO NDIYO MWANAMKE NINAYEMJUA AKISHAONJA NJE UJUE HAJAANZA KWA BAHATI MBAYA NA UKITAKA KUMZUIA YUPO TAYARI KUFANYA LOLOTE HATA KUKUTOA UHAI ILI TU UMUACHE AU HATA KUKWAMBIA HAWA WATOTO SIYO WAKO ILI TU UGADHABIKE TU UMPE NAFASI.
POLE MWAMBA THAT IS LIFE
Emoj ni kwambie kitu hakuna dawa ya hicho unachohitaji ushauri ila kama kweli unajutia hiyo hali fanya yafuatayo.
Nakumbuka mumeo alikuruhusu kwa moyo wote kwenda kufanya kazi mkoani ndiyo ukakutana na boss wako huu ambaye amekuchanganya ili kutibu hili fanya maamuzi magumu ya kuacha hiyo kazi...
kwa hiyo hizo boxer ulizokuwa umeniletea na ile perfum unampelekea nani siungeuliza huyu ni nani kuliko kuondoka na kuja kunihukumu huku bila kunipa nafasi ya kujitetea mai.....yule ni mdogo wangu yaani mtoto wa shangazi binamu yangu wala sikuwa na nia mbaya na alifanya vile kujua utareact vipi
kwa hiyo ulimvua hizo nguo au ulifanyaje..vipi jimbo liko wazi au lina mgogoro kama la mke wa mitishamba..
ila unaonekana msafii hivyo vidole vya mguu vimeniwazisha mengi sema mshikaji kazingua. tupe nafasi sie waaminifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.