Recent content by Akili Pesa

  1. Akili Pesa

    Haya nyie ambao Polepole ndio karata yenu ya mwisho vipi kuna matumaini?

    Duuuuh u.eandika mengi sana lakini yote yanaangukia sehemu moja ya kutishia Watz na kuwafanya waweze kuogopa.
  2. Akili Pesa

    Uzi unaohusu mapishi ya uyoga

    Wadau habari? Naomba kujua namna nzuri ya kuandaa UYOGA maan ni kitu ninachotamani sana kujua maandalizi yake ya upishi hasa uyoga ambao umechumwa kutoka shambani sio wa kukaushwa. Mwenye kuweza kutoa darasa nasubiri kutoka kwenu wakufunzi. Hata maandalizi ya supu yake tu itasaidia kujua.
  3. Akili Pesa

    Mishahara ya wakufunzi wa vyuo vya ualimu ni tofauti na waalimu wa secondary?

    Kwahiyo BAED hawezi kufundisha Chuo?? Kama anaweza anaomba kwa kupitia njia zipi??
  4. Akili Pesa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa Niaba yupo Mwalimu anataka kubadilishana yeye Yupo Muleba Kagera ili Aje POPOTE PALE NDANI YA TANZANIA ISIPOKUWA Ukanda wa ZIWA VICTORIA Jamaa hataki kukaa karibu na Ukweni. Idara sekondari
  5. Akili Pesa

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mororgoro nipeni Location ya kuviriga akili kwnza maan May Mosi hapa ilikuw bize mbaya
  6. Akili Pesa

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nipo Nimeshaagiza Krwt ya Soda Coca Cola tupu Baridiiiiii na Fuko kubwaa la Peremende Ivory. Kukesha mpk asbh.
  7. Akili Pesa

    Je, Ualimu ni daraja la mwisho kwa utumishi?

    Mkono Mmoja hujui unachokiongea, laiti ungejua Hawa wapo Asilimia Ngapi ya Watumishi wa Umma wote katika serkali halafu wanalipa sh. ngapi kwa serkali kila mwezi usingesema hivi. Jamaa wapo wengi na wanalipa kwa mwezi serkal zaid ya Bilion kadhaa ukiwekewa hesabu hapa utajikuta kila mwalimu...
  8. Akili Pesa

    DOKEZO Muleba inanuka ufisadi, TARURA imeoza

    Picha ingependeza kuleta uhalisia wa kinachoongelewa. Nashauri piga icha Taa zilizowekwa na zilizotarajiwa kuwekwa katika mradi husika. Najua uchungu wako lakin njia rahis ya kulisukuma hili ili waliojfanya wakubwaaa wapoteane.
  9. Akili Pesa

    Chalamila amesema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote

    Kina namna flani hivi yupo sahihi maan kiukwel Wahaya ni Watu wa Fursa mnoo, hivyo kunafikia mwenzake ili afaidike ni jambo dogo sana kwake.
  10. Akili Pesa

    Hizi ndizo Shahada za Heshima na Tuzo alizotunukiwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    Watakosea wakimuita kwa Dr. Inabidi atambulike Kwa Jina lake halafu pale mwisho ndio waweke brackets (PhD) ndio usahihi.
  11. Akili Pesa

    Kanuni ya haki ya msingi haikufuatwa kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18

    Mbona Wao hawakuandika barua kutaarifu chama kuwa wanaenda kuapishwa dodoma kwa thupikyaaa.
  12. Akili Pesa

    GE2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

    Kuna Msemaji wa Familia ya Marehemu [emoji23] yan huwa wanakuwa na sentensi ndefuu
  13. Akili Pesa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Muleba Kagera Idara sekondari, Yeye Aje Korogwe,Same na Bagamoyo
Back
Top Bottom