Recent content by Akbar Akhtar

  1. A

    JamiiForums Tanzania Bendera za Uamsho zashushwa Zanzibar nzima

    Safiiiiiiiiiiiiiiiiii; sanaaaaaaaaaaaa genge la wahuni limevunjwa
  2. A

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani za kiarabu zinasaidia bajeti za nchi masikini

    Kijana waarabu wanatuletea TENDE na kanzu wakt wa ramadhan
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani za kiarabu zinasaidia bajeti za nchi masikini

    Mwarabu akujengee shule au hospital badala ya msikiti?itakuwa ndo mwisho wa dunia; hakuna historia inayoonyesha utawala wa mwarabu kuacha mashule na mahosptal badala ya misikiti na madrasat, anaebisha aseme
  4. A

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Chama; wewe nawe ni walewale; unaufinyu wa mawazo; sijawah ona ubaguz kutoka kwa wakristo; ila waislam tunawabagua wakristo ndo maana na maendeleo hakuna,tumekuwa wajinga na mabahiri
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    BK Na MM nawafurahia sana maana ni ukweli mtupu mnaoongea hapa; kuna kijiji kimoja nilienda kuna msikiti kama hatua 100 na hakuna hata nurcery lakini kwa mbele yake kuna kanisa la roman katolik na kuna nurcery; hapo utasemaje
  6. A

    JamiiForums Tanzania Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Hakika umenena; waislamu tubadilike Ponda hana akili hana shule anafikiria kutumia .....;taja bakhresa hata dispensary hajengi ila kwenda hija anatoa pesa; huoni ujinga huu elimu dini mbele huduma za jamii hatutaki; tumekuwa wavivu sana tunaona vigumu kila kitu
  7. A

    JamiiForums Tanzania Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Udini ni mambo ya kijinga sana ktk dunia ya leo; mimi nasema tena tusingoje vya bure kama mashoga,tuanze kuchngishana kujenga mashule; hatujachelewa; wivu na utoto hautatufikisha popote
  8. A

    JamiiForums Tanzania Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Leo nimepita sehemu na ndevu zangu; naskia Waislamu shida yetu hatuna elimu, hoja tunazotoa ni kama za watoto wa darasa la saba; mimi nimesoma Egypt; nimesoma mengi sana nakuja kuwapa mikakati ya kuweza kujenga mahospital na mashule; Gadaf kaja kujenga msikit mkamshangilia badala ya kujenga...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    unajua waislam hatuendelei kwa sababu ya wajinga wachache, toa hospitali zetu serikali itupe support, zipo wapi, morogoro university yenyewe inaanguka sababu ya udini mbele, si usenge huu, tuwe kitu kimoja na wenzetu tujifunze wanavojituma si kuwaonea wivu , wewe MCHAWI nini,hakuna hata muislam...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Makanisa yavunje MoU na Serikali...

    Huna akili kabisa wewe tatizo ndo maana tunaambiwa hatuna shule; huduma za jamii za kwetu zipo wap?we shoga nini; gadafi badala ya kujenga university yetu kajenga msikiti dodoma hapo utasemaje?i
  11. A

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    kweli ndugu Nelson, uzanzibari na utanganyika si dili, cha msingi ni kurekebsha mapungufu, uislam si vurugu tatizo ponda hana shule, wakt wao wanachoma ofisi za ccm na makanisa ya watu wanajifanya wajanja, sisi waislam wapenda amani tunaunganishwa na ******* wa ponda mpaka tunakosa kuheshimiwa...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Uamsho yaipa serikali masaa 26, vinginevyo...!

    utumwa wa kiarabu ni mbaya kuliko wa kizungu, maana hata waarabu walipo wachukua mababu zetu hapa zanzibar na kuwapeleka uarabuni waliwahasi na kuwafanya mahanithi lakini wazungu hawakuwahathi ndo maana kuna african amerikani, wenzangu wanaoandama mjue kuwa virungun vitaharibu nguvu za kiume...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    yasser arafat alikuwa ktk dini fulani inayohubiri upendo na dini hii si uislam wala ukristo, je unafahamu hilo ? ndo maana alikuwa mpole na mwenye hekima, kafir ni neno kama tusi Mungu ni mwema na mwingi wa rehema hawez kutuamrisha kutukana binadamu wengine , soma sana upate maarifa uje mjini...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    nitakusomesha mimi degree ya pili bure ufunguke mawazo, waislamu wote wasomi hatuna mambo ya kisenge, intifada imeishia wapi? ya wapalestina? si bora wangeelewana tuuu? watu wanaopoteza kijinga jinga si inawagharimu ? ifikewakt mambo ya jihad sijui nini tuweke kaando tuwe wenye busara...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    mr. president, Asalam aleykum, mimi nina msimamo wa kati na siwaungi mkono hawa wenzangu wenye umaskini wa mawazo na ushabiki wa dini usio wa msingi , yana akili kama mangombe, yanafuata mkumbo tu, hapa zanzibar si wote wanapenda upuuzi kama mjinga huyu ponda na fariid, watu wanaibiwa madukani...
Back
Top Bottom