kuna dude moja lnaitwa DELTA FORCE kacheza chuk norris mule kuna zile pikipiki zinatoa risasi na mabomu basi kuona mwamba anavozichapa bakora mule dah nikatamani hadi kuwa mjeda nikijua ntazpga sana fimbo dah kumbe hata hazipo.
Me kuna kitu nimekiona sijui itakuwa sawa na ninyi wakuu?. Sisi wat weusi hatuthamin watu wetu tunathamin sana watu weupe au mtu aitwae tu mzungu au mwenye asili ya uzungu basi mtu mweusi yupo tayar kutomthamin mweusi mwenzie kwa sababu tu ya watu wa nje. Tz tuna wachezaj wetu wengi wenye uwezo...
"HATUKUPENDAA KUWA SINGO, (Chuii) HATUKUPENDA KULEWA KILA SIKU, HATUKUPENDA TUITWE MALAYA, HATUKUPENDA ILA ILITOKEA TULIPIGWA NA KITU KIZITO, KITU KIZITO. HATA KAMA ULIMPENDAAA ILA WEW NI MJINGA,, MANA UMETOA MAHALI NA BADO KAKUPA CHA MBAVU MNINGAA, MAPENZ MIAKA MITANO UKASHNDWA MPA...
He kumbe dawa ya meno ina utaratibu wake wa kuminywa dah ckujua hili. Kwaiy ukiminya kwa utaratibu haiishi?. Anyway mvumilie mgeni mana tatizo ni malezi, na kama ukishndwa mpe nauli arudi kwao simiyu.
Cha kufanya hapo ni kitu kimoja tu braza. Mie nina connection na dulla mbabe, ibrahim class na mwakinyo, njoo pm bs tuongee mkeo anaweza akaw anatengeneza hela nying sana kaka
9. Mwanaume lazima uwe na madeni. Ili tuupime uwanaume wako basi lazima tujue unatokaje hapa. Kuwa na madeni na kupambana kuyalipa ndo maana halisi ya uwanaume. Huku kodi huku rejesho, mara mkeo kakopa vikoba kashndw kulipa af aliweka bond tv, redio, masofa, kitanda mpaka vijiko. Na haitakiw uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.