Recent content by akajanja11

  1. A

    Baraka Obama atuma wanajeshi 4000 AM-Ebola

    Nigeria ni nchi pekee iliyoweza kutokomeza kabisa janga hili la ebola. Lakini mbona wao sijasikia wametokomeza kwa kutumia hao wanajeshi? Km kweli nia ni kutokomeza ugonjwa kwanini wasiwasaidie AM kwa njia alizotumia Nigeria ?
  2. A

    Vita nzito Clouds FM Vs Times FM

    Mfano wako ni mwepesi na umebeba ujumbe mzito, tukaweka ushabiki pembeni wenye akili timamu washakuelewa
  3. A

    Kigamboni kigamboni kigamboni

    Naomba kuuliza, hivi ule mradi wa kigamboni, vijibwen wa wamarekani unaotarajiwa kuisha 2030 ni kwamba haujachukua eneo lote la kigamboni ? Na km ni eneo lote hivi viwanja vinauzwa kigamboni ipi.? Naomba mnisaidie hili kwa wale wenye kufahamu vizuri mradi huu na Kigamboni
  4. A

    Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

    Hili Neno katika maneno. Nakushauri fuata hili
  5. A

    How to spot a wife material

    👆 Muss❎ Miss✅
  6. A

    How to spot a wife material

    In muss chagga's voice😑
  7. A

    Muhidin Gurumo (aliyekuwa Msondo Ngoma) afariki dunia!

    May the soul rest in paradise😢
Back
Top Bottom