Nigeria ni nchi pekee iliyoweza kutokomeza kabisa janga hili la ebola. Lakini mbona wao sijasikia wametokomeza kwa kutumia hao wanajeshi? Km kweli nia ni kutokomeza ugonjwa kwanini wasiwasaidie AM kwa njia alizotumia Nigeria ?
Naomba kuuliza, hivi ule mradi wa kigamboni, vijibwen wa wamarekani unaotarajiwa kuisha 2030 ni kwamba haujachukua eneo lote la kigamboni ? Na km ni eneo lote hivi viwanja vinauzwa kigamboni ipi.? Naomba mnisaidie hili kwa wale wenye kufahamu vizuri mradi huu na Kigamboni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.