Dr slaa anauhusiano gani na hili,kuna watu hawana hata aibu ya kutoa mawazo ovyo.Watu wanafikiri mambo ya maana wewe unamwaza Dr slaa tu kwan uliahidiwa nini na ccm?
Kuna haja ya kuwaelimisha watanzania kuhusu katiba maana weingine wanafikiri ni kupata chama cha kuongoza nchi tu! hii ni hatari sana; mfano ccm kupindisha taratibu za kupata katiba kwa mslahi ya chama wanasahau mengi ya msingi sana yanayoguswa na katiba.Mungu atunusuru maana tutafika mahali...
Wewe ni mbumbumbu kweli unapata posho Lumumba ndiyo maana huoni shida.Wananchi kujikomboa sio jambo rahisi ,tuungane pamoja tuonesha sisi ndio wenye nchi hii kama wenzetu Misri,Libya n.k; Diplomasia katika nchi hii haiwezi kufanya kazi.
Mtetezi wa watanzania hawezi kutokea akasimama peke yake kwa mazingira magumu yanayowekwa na serikali;akina Lema na wengine wanataka nguvu ya watu kutetewa;tuungane tufanye kama Liwale!!!!!!
Wananchi wamechoka hii ni nchi huru na watu huru. ccm imenyonya jamii sana,sasa wameona mkombozi wetu chadema wanawanyanyasa kwa kutumia polisi,usalama wa ccm(zamani usalama wataifa) na hata mahakama.Kinachonishangaza kwanini wanataaluma wanaofanya kazi ktk vyombo hivi wasiwe waaminifu? serikali...
Hayo ni matukio ya kawaida kama alivyosema mwanae, haina uhusiano na cdm.Kama huna comments siyo ujinga ukinyamaza kuliko kusingizia.Hata mpumbavu akinyamaza ataonekana ana hekima !
Mwigulu mwenyewe unajisifu umebadili ID ,kwa sababu najua hakuna anayeweza kukusifu wewe! kwanza kwa kipi ? Mwigulu lazima uelewe kuwa huwezi kulazimisha kuongoza watu bali wakukubali tu utendaji bora. Soma nyakati ubadilike maana wewe unasemwa kwa kulaumiwa sio sifa njema hata kidogo, pia Nape...
Huyo anajipendekeza aonekane na wale wale waliofanikiwa kwa staili hizohizo,angeona aibu kwa sababu analabel inayo aminiwa na watu wengi.Vyombo vya habari viwe makini visiwaite watu wa namna hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.